Bayern Munich Wahitaji Ushindi Leo Kutangaza Ubingwa wa Bundesliga
Klabu ya Bayern Munich inaweza kutangazwa Bingwa wa Ujerumani leo iwapo haitapoteza dhidi ya VfB Stuttgart katika Dimba la Allianz Arena. Mabingwa hao watarajiwa wamepata nafuu baada ya mpinzani wao wa karibu, Borussia Dortmund, kupoteza kwa wiki ya pili mfululizo. Dortmund ilifungwa bao la dakika za mwisho na TSG Hoffenheim kwa mabao 2-1. Kwa sasa,…