Mbeya City Yaachana na Mecky Maxime Baada ya Kipigo Cha 6-0 Dhidi ya Yanga
Klabu ya Mbeya City imetangaza kuachana na Kocha Mkuu wake, Mecky Maxime, pamoja na benchi lake la ufundi kwa makubaliano ya pande zote, kufuatia matokeo mabaya ya hivi karibuni ya timu hiyo. Mbali na Maxime, wengine walioondoka ni Kocha Msaidizi Nizar Khalfan na Kocha wa Utimamu wa Mwili, Francis Mkanula. Uamuzi huo umefikiwa saa chache…