HAWA YANGA WANA BALAA, PHIRI AVUNJA UKIMYA SIMBA
HAWA Yanga wanabalaa, Phiri avunja ukimya Simba
HAWA Yanga wanabalaa, Phiri avunja ukimya Simba
BAADA ya kufungua kete ya kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara kishujaa kwa kupata ushindi dhidi ya Kagera Sugar, Mashujaa FC ya Kigoma leo ina kibarua kingine cha kufanya. Ipo wazi kuwa mabingwa wa ligi ni Yanga wana kibarua cha kutetea taji hilo kwa msimu wa 2023/24. Bado Yanga haijashuka uwanjani kutokana na kuwa na…
MCHEZO wa kwanza katika Kombe la Shirikisho Azam FC imeanza kwa kupoteza baada ya dakika 90 kukamilika. Ikiwa ugenini imeshuhudia ubao ukisoma Bahir Dar 2-1 Azam FC hivyo wana kazi ya kusaka ushindi mchezo wa pili ili kuongeza nafasi ya kusonga hatua inayofuata katika Kombe la Shirikisho Afrika. Bao la Azam FC inayonolewa na Kocha…
UKIWA ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Uwanja wa Azam Complex Yanga wamepeta kwa kufanya kweli katika mchezo wa awali uliochezwa Agosti 20. Kukiwa na mabadiliko kwenye kikosi cha Miguel Gamondi pamoja na aina ya uchezaji mchezo huo baada ya dakika 90 ubao umesoma ASAS Djibouti 0-2 Yanga. Ni Aziz Ki dakika ya 22…
BAADA ya danadana za kutosha, hatimaye Chelsea imekamilisha usajili wa kiungo rasta, Romeo Lavia kutoka Southampton. Kiungo huyo kinda ambaye timu yake ya Southampton ilishuka daraja msimu uliopita alikuwa akitakiwa kwa ukaribu zaidi na Liverpool lakini akachagua Chelsea ambayo amejiunga nayo kwa ada ya pauni mil 53 kukiwa na nyongeza ya pauni mil 5. Lavia…
UBAO wa Uwanja wa Uhuru Agosti 20 baada ya dakika 90 za jasho wa wanaume 22 kusaka pointi tatu umesoma Simba 2-0 Dodoma Jiji. Mabao ya Simba ya pira Uturuki yamefungwa katika vipindi viwili tofauti, dakika ya 43 kupitia kwa Jean Baleke ambaye alikuwa wa kwanza kuwatungua wazee wa pira Zabibu. Kipindi cha pili ni…
USIKU wa deni haukawii kukucha, ndivyo unavyoweza kusema kwani hatimaye kivumbi cha mashindano ya kimataifa yaani Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kimeanza kutimua vumbi rasmi Ijumaa na kinatarajiwa kuendelea wikiendi hii. Kwa upande wa Tanzania Bara msimu huu tunatarajiwa kushirikisha timu nne katika mashindano hayo, ambapo timu za Yanga na Simba…
LINAPIGWA pira Uturuki v Pira Zabibu Uwanja wa Uhuru huku ukuta wa Dodoma Jiji ukiwa imara kuwakabili wapinzani wao. Licha ya nguvu walizonazo Dodoma Jiji kuwazuia washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Jean Baleke ni mashuhuda ubao ukisoma Simba 1-0 Dodoma Jiji. Jean Baleke ametupia bao dakika ya 43 kwenye Uwanja wa Uhuru ambao timu zote…
MASTAA watatu wa Simba wameanza kwa majanga msimu wa 2023/24 kutokana na kupata maumivu wakiwa kwenye majukumu yao. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Simba ilishuhudia bingwa wa ligi akiwa ni Yanga chini ya kocha Nasreddine Nabi ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24. Yanga kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,…
UPO uwezekano mkubwa wa kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Muivory Coast Pacome Zouzoua kuanza katika kikosi cha timu hiyo, kitakachovaana dhidi ya ASAS FC ya nchini Djibouti. Yanga itavaana dhidi ya ASAS katika mchezo wa hatua ya Awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa leo Agosti 20 Jumapili kwenye Uwanja wa Azam Complex, Mbagala Jijini…
YANGA yaweka mtego CAF, Baleke aonywa Simba ndani ya Spoti Xtra Jumapili
MASTAA wa Simba ikiwa ni pamoja na Luis Miquissone, Fabrince Ngoma, Jean Baleke na John Bocco wameanza kusukwa upya ili kurejea kwenye makali yao. Nyota hao wameandika rekodi mbovu ya kukomba dakika 180 katika mechi za Ngao ya Jamii 2023 bila kufuga bao lolote licha ya kutwaa taji hilo. Simba ilitwaa Ngao ya Jamii kwa…
CHAMA cha Soka Saudi Arabia kipo kwenye mazungumzo na UEFA kuhusu uwezekano wa bingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia kushiriki michuano hiyo msimu wa 2024/25. Hii inakuja baada ya Saudi Arabia Pro League kusajili wachezaji wakubwa na waliokuwa vipenzi vya mashabiki wengi huko Ulaya. Kwa sasa ligi ya Saudia imekuwa ikifuatiliwa tangu, Cristiano Ronaldo…
HUKO Yanga unapikwa mfumo mpya wa kuhakikisha kocha, Miguel Gamondi anatumia namba 10 wawili katika kikosi chake ili kuongeza ubunifu katika kufunga mabao yatakayoisaidia Yanga kuwa bora msimu huu. Gamondi tayari ameshawafurahisha mashabiki wa timu hiyo licha ya kupoteza mechi yao dhidi ya Simba kwenye fainali ya Ngao ya Jamii ambapo kikosi chake kilionyesha kiwango…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa mchezo wa mpira unahitaji mabao jambo ambalo wamelifanyia kazi. Kesho Agosti 20, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya ASAS Djibouti katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo hata ule wa pili utachezwa pia Jumapili…
MASTAA wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Robert Oliveira, Clatous Chama na Luis Miquissone wamekuja na jambo lingine katika kufunga na kutoa pasi za mabao. Simba msimu wa 2022/23 walipishana na ubingwa ambao ulikwenda kwa watani zao wa jadi Yanga. Pia hata taji la Ngao ya Jamii lilibebwa na Yanga na lile la Azam Sports…
SAKATA la kwanza la Ligi Kuu Bara katika msimu mpya wa 2023/24 ni kuhusiana na suala la kuvunjika kwa mechi kati ya Azam FC dhidi ya Kitayose ya Tabora. Mechi hiyo kwenye Uwanja wa Chamazi iliisha hata kabla ya mapumziko kutokana na wageni Kiyayose kuanza na wachezaji pungufu na baadaye wakapungua kutokana na kuumia kwa…