YANGA WAIKANDA MKONO ASAS DJIBOUT LIGI YA MABINGWA AFRIKA
IKIWA Uwanja wa Azam Complex imeshuhudia ubao ukisoma Yanga 5-1 ASAS FC mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ushindi huo unaipa nafasi Yanga kusonga mbele hatua inayofuata ambapo unatarajiwa kumenyana na Al Merreikh ya Sudan. Mabao ya Yanga yamefungwa na Max Nzengeli aliyetupia mara mbili dakika ya 7, 90 huku Konkoni akitupia dakika ya 45…