Home International KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA ASAS LIGI YA MABINGWA AFRIKA

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA ASAS LIGI YA MABINGWA AFRIKA

HIKI hapa kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya ASAS Djibouti wakiwa ni wenyeji wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

Kikosi cha Yanga kinanolewa na Miguel Gamondi ambaye amepanga kete zake namna hii:-

Djigui Diarra atakuwa langoni kwa upande wa Yanga

Kibwana Shomari

Nickson Kibabage

Bakari Mwamnyeto

Bacca

Jonas Mkude

Jesu Moloko

Sure Boy

Konkoni

Max

Aziz KI

Akiba ni:- Mshery, Yao, Gift, Mauya, Muda, Zouzoua, Nkane, Musonda, Mzize

Uwanja wa Azam Complex

Previous articleISHU YA SALAH KUUZWA UARABUNI IPO HIVI
Next articleYANGA 2-0 ASAS DJIBOUT