
SIMBA YAWAFUNGUKIA AL AHLY
BAADA ya droo ya African Football League kuchezwa na Simba kupangwa kuanza na Al Ahly ya Misri, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa wapo tayari kuonyesha ukubwa wao. Simba katika African Football League itaanza na Al Ahly katika hatua ya robo fainali mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Oktoba 20,2023 na ule wa marudiano itakuwa…