NABI KUIBUKIA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kufikia makubaliano ya kutoongeza mkataba ñdani ya Yanga, Nasreddine Nabi anatajwa kuwa katika hesabu za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Dili la Nabi lilikuwa linagota ukingoni mwishoni mwa msimu huu wa 2022/23. Nabi amekiongoza kikosi cha Yanga msimu wa 2022/23 kwa mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kutwaa taji la Ligi Kuu Bara,…

Read More

NYOTA NTIBANZOKIZA ASEPA NA TUZO KIBAO

NYOTA wa Simba Saido Ntibanzokiza amefunga msimu wa 2022/23 kabati lake likiwa limejaza tuzo sita ikiwa ni rekodi bora kwake mbele ya mastaa wa Namungo, Yanga na Singida Big Stars. Ni Tuzo ya mchezaji bora kwa Mei akiwashinda Prince Dube wa Azam FC na Charlse Ilanfya wa Mtibwa Sugar ambapo ndani ya Mei nyota huyo…

Read More

MWISHO WA UBISHI TUZO YA MFUNGAJI BORA

KATIKA usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na benki ya NBC, ule ubishi wa nani atakuwa mfugaji bora uligota mwisho rasmi kwa kumtambua ambaye amesepa na tuzo hiyo. Nyota wawili kwenye ligi walitupia mabao 17 kwa kila mmoja ikiwa ni Saido Ntibanzokoza kiungo mshambuliaji wa Simba na Fiston Mayele mshambuliaji wa Yanga. Baada…

Read More

BEKI LA KAZIKAZI LASEPA NA TUZO

DICKSON Job beki wa kazikazi anayeitumikia Klabu ya Yanga ana tuzo ya beki bora msimu wa 2022/23. Job wa Yanga amewashinda washkaji zake aliokuwa anapambana nao kwenye kipengele hicho ikiwa ni pamoja na nahodha wake Bakari Mwamnyeto. Wengine ni Mohamed Hussein, Shomari Kapombe na Henock Inonga wote ni mali ya Simba. Inonga alikuwa na tuzo…

Read More

KIKOSI BORA SIMBA WATAWALA, SINGIDA YAPENYA

KIKOSI bora msimu wa 2022/23 ni nyota mmoja kutoka Singida Big Stars mkali wa mapigo huru anaitwa Bruno Gomes ni kiungo mshambuliaji. Simba iliyogotea nafasi ya pili imetoa wachezaji 6 ambao ni Shomari Kapombe, Mohammed Zimbwe, Henock Inonga, Muzamiru Yassin, Claotus Chama na Saido Ntibazonkiza. Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara wametoa wachezaji…

Read More

IJUE REKODI ALIYOFUNGA NAYO JOHN BOCCO

NAHODHA wa Simba John Bocco amefunga msimu wa 2022/23 na rekodi yake a kufuta gundu ya kukwama kupachika bao ndani ya 2023. Ipo wazi kuwa ni Desemba 30 2022 Bocco alifunga mabao kwenye mchezo wa kufungia mwaka kwa Simba alipowatungua mabao matatu Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa. Bocco alianza kwa kasi kwenye kucheka na nyavu…

Read More

YANGA NA UBINGWA WA FA

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wamejituma kucheza dhidi ya timu ngumu katika fainali. Yanga imeshinda dhidi ya Azam FC kwenye fainali ya Kombe la Azam Sports Federation. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani umesoma Azam FC 0-1 Yanga. Mtupiaji ni Kennedy Musonda dakika ya 14 akifunga bao pekee ambalo limedumu mpaka mwisho…

Read More

YANGA YATWAA TAJI LA FA MKWAKWANI

NAHODHA wa Yanga Bakari Mwamnyeto ameshuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani ukisoma Azam FC 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi kwa Yanga limepachikwa na Kennedy Musonda dakika ya 14 kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa. Mwamnyeto nahodha wa Yanga ametoka kushuhudia timu hiyo ikitwaa taji la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2022/23. Ni…

Read More

NTIBANZOKIZA ATWAA TUZO YAKE

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibanzokiza ametwaa tuzo ya mchezaji bora chaguo la mashabiki. Nyota huyo ni mchezaji bora kwa Mei baada ya kuwashinda washkaji zake wawili alioingia nao fainali. Ni Shomari Kapombe na Hennoc Inonga ambao hawa ni wataalamu kwenye eneo la ulinzi. Ntibanzokiza ndani ya Mei kwenye mechi mbili katupia jumla ya mabao…

Read More

AZAM FC 0-1 YANGA

KENNEDY Musonda nyota wa Yanga amepachika bao la kuongoza kwa Yanga kwenye mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation dhidi ya Azam FC. Dakika ya 14 bao hilo limepachikwa na raia huyo wa Zambia ambaye aliwazidi ujanja mabeki wa Azam FC na kuandika bao kwa Yanga. Uwanja wa Mkwakwani mashabiki wengi wamejitokeza kushuhudia mchezo wa…

Read More

SIMBA WAIFUNIKA YANGA, AZAM FC

MASTAA wa Simba wamewafunika watani zao wa jadi Yanga kwenye idadi ya hat trick ambazo wamefunga ndani ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Azam FC. Msimu wa 2022/23 ni mastaa saba walifunga hat trick huku ikiwa ni watatu kutoka Simba, wawili kutoka Yanga  mmoja ni mali ya Namungo inayotumia Uwanja wa Majaliwa na…

Read More

NTIBANZOKIZA NA TUZO MKONONI, MABAO SABABU

MKONONI ana tuzo ya mchezaji bora wa Ligi Kuu Bara kwa mwezi Mei baada ya kuwashinda nyota wawili alioingia nao fainali. Nyota huyo ni shuhuda wa watani zao wa jadi Yanga wakisepa na taji la ligi kwa msimu wa 2022/23 wakiwa na tofauti ya pointi tano. Anaitwa Saido Ntibanzokiza kiungo mshambuliaji wa Simba ambaye alitupia…

Read More

WAKALI WA KUTENGENEZA PASI ZA MWISHO BONGO

WAKALI ni wakali tu iwe ni mwanzo ama mwisho wanakiwasha na msimu wa 2022/23 umeshuhudia wengi kwenye kila sekta. Kwenye mwendo wa data tuna wakali wa kutengeneza pasi za mwisho namna hii:- Clatous Chama pasi 14 Kinara kwa kutengeneza pasi za mwisho Bongo ndani ya Ligi Kuu Bara ni Clatous Chama yupo zake ndani ya…

Read More

CITY MABINGWA WA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

UEFA Champions League mkononi kwa ushindi wa bao la Rodri dakika ya 68 dhidi ya Inter Milan Uwanja wa Ataturk Olympic. Katika mchezo huo Kocha Mkuu wa City Pep Guardiola alishuhudia vijana wake wàkipiga kona mbili na wapinzani wao Kona nne. Jumla zilipigwa pasi 512 kwa City na 394 kwa Inter ambao wapipiga mashuti sita…

Read More