
YANGA YAKUSANYA BILIONI 1 KUTOKA KWA WANACHAMA
MKURUGENZI Mtendaji wa Kilinet Mohammed Saleh amesema ndani ya miezi 6 wameweza kusajili wanachama 34,650. Huu ulikuwa ni mchakato wa Klabu ya Yanga kuweza kufanya usajili kwa wanachama baada ya kubadili katiba na mfumo wa uendeshaji wa timu. Akizungumza leo Juni 7, Saleh amesema kuwa wameweza kukusanya fedha hizo ikiwa ni mafanikio makubwa ndani ya miezi…