
KUMBILAMOTO CUP HAWA HAPA KUKIWASHA FAINALI
WANAUME 22 wanatarajiwa kuwa kwenye kazi msako wa mshindi wa taji la Kumbilamoto Cup 2024 kwenye fainali inayosubiriwa kwa shauku kubwa. Mashindano hayo yenye ushindani mkubwa yalianza kutimua vumbi Septemba 16 2024 na mchezo wa ufunguzi uliwakutanisha wababe wawili ambao ni Watasu FC ilikuwa dhidi ya Bodaboda na wote hawajafika katika hatua ya fainali. Desemba…