BEKI Israel Mwenda wa Yanga ameanza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara akiwa na uzi wa Yanga baada ya kuibuka hali akitokea Singida Black Stars.
Djigui Diarra, Kibwana Shomari, Boka, Dickson Job ni nahodha wa kikosi cha kwanza akiwa ni beki kiongozi.
Bacca, Khalid Aucho, Israel Mwenda, Mudathir Yahya, Dube, Aziz Ki, Clement Mzize hawa wapo kikosi cha kwanza.
Mchezo wa kwanza wa ushindani kwa Mwenda kuanza kikosi cha kwanza ilikuwa dhidi ya Copco, Uwanja wa KMC, Complex alitoa pasi mbili za mabao na huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwenye ligi.
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, kukipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371. Ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM.