
BETI NA MERIDIANBET MECHI ZA UEFA LEO
UEFA leo ni moto kwelikweli kwani mechi kibao zinapigwa kwenye viwanja mbalimbali. Nani kukupa pesa Jumanne ya leo?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Mtanange wa mapema ni huu wa AC Milan ambaye atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Slovan Bratslava ambaye ndiye kibonde wa michuano hii akiwa kafungwa mechi zote hadi sasa….