
WAKIPEWA PENATI HAWA JAMAA NI KAMBA
KUNA mastaa ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids wakipewa majukumu ya kupiga penati asilimia 100 wamekuwa wakiwapa tabu makipa kwa kufunga kwenye mchezo husika iwe kitaifa ama kimataifa. Simba kwenye penati ambazo wamepata kwa msimu wa 2024/25 ndani ya uwanja hakuna ambayo wamekosa miongoni mwa waliyofunga ni katika anga la…