ORODHA YA WACHEZAJI WA SIMBA SC WALIOPO BOTSWANA

SIMBA SC baada ya kupoteza Ngao ya Jamii, Septemba 16 2025 mbele ya Yanga SC msafara ulikwea pipa na umefika salama Botswana kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali dhidi ya Gaborone United. Hii hapa orodha ya wachezaji wa Simba SC waliopo Botswana watakuwa na kazi…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA YARUDI KWA UBABE!

Mechi za ligi ya Mabingwa Ulaya siku ya leo zinatarajiwa kuendelea kwa mechi kali za pesa. Barcelona, City, Galatasaray na wengine wanakusubiri usuke jamvi lako la ushindi. Ingia sasa kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa. Kutoka kule Ujerumani, Eintracht Frankfurt watakipiga dhidi ya Galatasaray ya kule Uturuki ambao ndio mabingwa wa…

Read More

Hii hapa ratiba ya NBC Premier League

NBC Premier League tayari pazia lake limefunguliwa na Septemba 17 mechi mbili za ufunguzi zilichezwa. KMC 1-0 Dodoma Jiji huu ulichezwa Uwanja wa KMC Complex na mtupiaji wa bao la kwanza msimu wa 2025/26 ni Daruesh Saliboko dakika ya 56 likidumu mpaka mwisho wa dakika 90. Mchezo wa pili ilikuwa Coastal Union 1-0 Tanzania Prisons…

Read More

CHEZA MERIDIANBET BONANZA, VUNA MIZUNGUKO YA BURE

Kuna wakati unakaa kimya, ukitazama na kutafakari ndoto zako za siku moja kuingia kasino, kushinda kwa kishindo, kufurahia kila mzunguko. Lakini muda, umbali, au hali vinakuzuia. Sasa, Meridianbet imefuta vizingiti vyote. Imeleta kwako Meridianbet Bonanza, mchezo unaokukaribisha kwenye ulimwengu wa ushindi, bila kusubiri kesho. Meridianbet Bonanza si mchezo wa kawaida. Ni mchanganyiko wa teknolojia ya…

Read More

USIKU WA UEFA: NANI ANAKULA SAHANI YA MWISHO?

Meridianbet inakwambia hivi kama jana hujapiga mkwanja kwenye mechi za UEFA za jana, leo hii ndio una nafasi ya kipekee ya kuondoka na ushindi. Chelsea, Inter, PSG na wengine wapo kwaajili yako. Ingia na uasuke jamvi hapa. Mechi kali ni hii ya Bayern Munich dhidi ya Chelsea kule Allianz huku nafasi ya kuondoka na pointi…

Read More

Yanga SC yakwea pipa baada ya kumalizana na Simba SC

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Romain Folz wamekwea pipa kuelekea Angola kwa mechi ya kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika. Septemba 16 2025 saa 11:00 jioni, Yanga SC walikuwa na kazi kutetea taji la Ngao ya Jamii katika mchezo wa fainali dhidi ya Simba SC…

Read More

Hiki hapa kikosi cha Yanga SC dhidi ya Simba SC

MABINGWA watetezi wa taji ya Ngao ya Jamii wapo Uwanja wa Mkapa kwenye msako wa ushindi ndani ya uwanja. Dakika 45 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Mkapa ukiwa unasoma Yanga SC 0-0 Simba SC, Septemba 16 2025 huku mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wingi. Katika mchezo wa leo mwamuzi wa kati ni Ahmed Arajiga ambaye anasimamia…

Read More