MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2021/22 upo namna hii ambapo vinara ni Yanga walio na pointi 9 baada ya kucheza mechi tatu kinara wa kutupia mabao ni Vitalis Mayanga wa Polisi Tanzania mwenye mabao matatu.
HUU HAPA MSIMAMO WA LIGI KUU BONGO
![](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2021/10/polisitanzaniafootballclub-248367722_280467300486256_7509858732424974006_n.jpg)