
KOCHA MPYA SIMBA ACHAMBULIWA NAMNA HII NA IBENGE
KOCHA mkuu wa RS Berkane ya nchini Morroco, Florent Ibenge amesema kuwa klabu ya Simba imepata moja kati ya makocha wakubwa ambao wamepata uzoefu katika timu kubwa jambo ambalo anaamini litaisaidia timu hiyo kufanya vizuri. Ibenge aliwahi kuhusishwa kujiunga na Simba kabla ya timu hiyo kumshusha Didier Gomes msimu uliopita wakati kocha huyo akiwa anaifundisha…