DAR YATIKISWA NA AMARULA – SUNDOWN SESSIONS YAZUA GUMZO

Dar es Salaam bado inazungumza kuhusu tukio lililotikisa mitaa ya kifahari – Amarula Sundown Sessions, lililofanyika Jumapili, 7 Septemba 2025. Ni wachache tu waliopata nafasi ya kuhudhuria, kwani tukio hili lilikuwa laini ya mwaliko maalum. Wageni waliokuwa ndani walihusisha majina makubwa ya burudani, influencers wenye nguvu mitandaoni na mastaa wa jiji waliokuja kushuhudia namna Amarula…

Read More

Cheza Wild White Whale Ujishindie mizunguko ya Bure Kila Siku

Katika anga ya michezo ya kubashiri, Meridianbet inaendelea kuthibitisha kuwa ni mwamba usiotetereka. Kwa sasa, inakuletea promosheni kabambe kupitia mchezo wa kasino unaotikisa wa Wild White Whale. Ni promosheni ya mwezi mzima iliyoanza tarehe 01 na itaisha tarehe 31 mwezi Septemba ikiwa imesheheni ushindi na zawadi za papo hapo. Kila mteja aliyesajiliwa na Meridianbet ana…

Read More

China-Tanzania cooperation gains momentum with launch of “Chinese + Vocational Skills” Training ate closely with UDSM and VETA Kipawa

The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…

Read More

MSANII ROSE NDAUKA ANUSURIKA AJALI YA GARI, AMSHUKURU MUNGU!

Msanii wa filamu na muziki, Rose Ndauka, amenusurika katika ajali ya gari na kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rose alishiriki picha za gari lililopata ajali huku akiandika ujumbe mfupi uliojaa shukrani: “Ahsante sana Mungu kwa kutuonekania siku zote 🙏🙏🙏.” Ujumbe huo uliwagusa mashabiki wengi ambao walimiminika kwenye ukurasa wake kumpongeza…

Read More

TANZANIA YAVUNA POINTI MOJA MBELE YA CONGO

HEMED Suleiman, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ameweka wazi kuwa hawakucheza vizuri kama ambavyo walitarajia katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya timu ya taifa ya Congo Brazzaville . Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Alphonce Masamba Debat ulisoma Congo Brazzaville 1-1 Tanzania. Ni…

Read More

KIPA SIMBA SC KUIBUKIA FOUNTAIN GATE

INATAJWA kuwa baada ya kipa namba mbili wa Simba SC kukutana na Than You Septemba 5 2025 kuna uwezekano akaibukia ndani ya Fountain Gate. Ni Ally Salim ambaye kwa msimu wa 2024/25 alikuwa chaguo la pili kikosi cha Simba SC na namba moja alikuwa ni Moussa Camara. Chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Salim alianza…

Read More

Yanga SC ni mwendo wa Tunapiga Kichwani Tu

Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa kwa sasa Yanga SC hakuna suala la kupeana matumaini bali ni mwendelezo wa dozi pale ambapo waliishia. Ipo wazi kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Kwa sasa wana jambo kubwa la Wiki ya Mwananchi ambalo…

Read More

China-Tanzania cooperation gains momentum with launch of “Chinese + Vocational Skills” Training ate closely with UDSM and VETA Kipawa.

The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…

Read More