
NIGERIA VS SOUTH AFRICA: MTANANGE WA KUKATA NA SHOKA, ODDS MOTO ZIKO MERIDIANBET
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa kwa dau lako dogo tuu kuanzia shilingi mia…
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa kwa dau lako dogo tuu kuanzia shilingi mia mbili unaweza ukatengeneza jamvi lako kwenye mechi zozote uzipendazo. Machaguo zaidi ya 1000 na Odds kubwa zinapatikana hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. Bashiri mechi ya Burkina Faso dhidi ya Egypt ambapo hawa wote wanafatana kwenye msimamo wa…
Timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ imeendelea kuweka hai matumaini ya kufuzu kombe la Dunia 2026 (WC 2026) baada ya kushinda mechi yake ya pili mfululizo ikiilaza Msumbiji 4-0 Septemba 5, 2025 kabla ya kuitandika Somalia 2-0. Allan Okello ameendelea kung’ara akiwa na The Cranes baada ya leo pia kutupia dhidi ya Somalia kwa…
Dar es Salaam bado inazungumza kuhusu tukio lililotikisa mitaa ya kifahari – Amarula Sundown Sessions, lililofanyika Jumapili, 7 Septemba 2025. Ni wachache tu waliopata nafasi ya kuhudhuria, kwani tukio hili lilikuwa laini ya mwaliko maalum. Wageni waliokuwa ndani walihusisha majina makubwa ya burudani, influencers wenye nguvu mitandaoni na mastaa wa jiji waliokuja kushuhudia namna Amarula…
Katika anga ya michezo ya kubashiri, Meridianbet inaendelea kuthibitisha kuwa ni mwamba usiotetereka. Kwa sasa, inakuletea promosheni kabambe kupitia mchezo wa kasino unaotikisa wa Wild White Whale. Ni promosheni ya mwezi mzima iliyoanza tarehe 01 na itaisha tarehe 31 mwezi Septemba ikiwa imesheheni ushindi na zawadi za papo hapo. Kila mteja aliyesajiliwa na Meridianbet ana…
Jumapili, tarehe 7 Septemba 2025, jiji la Dar es Salaam liliwaka moto kwa shangwe na hadhi ya kipekee pale Amarula ilipopanga tukio la kifahari la “Amarula Sundown Sessions” katika hoteli ya Delta Hotels. Hii haikuwa sherehe ya kawaida. Ilikuwa ni tukio la mwaliko pekee, lililokusanya mastaa wakubwa, watu mashuhuri, influencers, na tabaka la juu la…
Je unajua kuwa kupitia mchezo mpya wa Meridian Bonanza upo kwenye nafasi kubwa ya kuondoka na kiwango kikubwa cha pesa kwani ushindi ni mkubwa na wa uhakika kwa kila mshiriki. Mchezo huu mpya umezinduliwa rasmi ndani ya jukwaa namba moja la michezo ya kubashiri nchini, Meridianbet. Mchezo huu umetengenezwa kama mchezo wa kipekee kwa wapenzi…
UONGOZI wa Yanga SC umeweka wazi kuwa umeweka rekodi nzuri katika mashindano ya FA kwa kucheza misimu minne bila kupoteza ikiwa ni heshima na rekodi bora Afrika. Septemba 7 2025, Yanga SC imefanya mkutano mkuu katika ukumbi wa Super Dome Masaki ambao umehudhuriwa na matawi ambayo yamekidhi vigezo na viongozi mbalimbali walikuwepo akiwemo Bi Fatma…
The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…
Meridianbet ambao ndio wakali wa ubashiri Tanzania tayari wamekuweka mechi za Uingereza ligi daraja la tatu League One ambazo zinaendelea. Tengeneza mkeka wako wa ushindi hapa leo na uondoka na pesa nyingi. Doncaster Rovers vs Bradford City FC ni mechi nyingine ya kuongeza kwenye mkeka wako wa leo. Mechi hii pale Meridianbet imepewa ODDS 2.33…
Msanii wa filamu na muziki, Rose Ndauka, amenusurika katika ajali ya gari na kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Rose alishiriki picha za gari lililopata ajali huku akiandika ujumbe mfupi uliojaa shukrani: “Ahsante sana Mungu kwa kutuonekania siku zote 🙏🙏🙏.” Ujumbe huo uliwagusa mashabiki wengi ambao walimiminika kwenye ukurasa wake kumpongeza…
HEMED Suleiman, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ameweka wazi kuwa hawakucheza vizuri kama ambavyo walitarajia katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya timu ya taifa ya Congo Brazzaville . Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Alphonce Masamba Debat ulisoma Congo Brazzaville 1-1 Tanzania. Ni…
INATAJWA kuwa baada ya kipa namba mbili wa Simba SC kukutana na Than You Septemba 5 2025 kuna uwezekano akaibukia ndani ya Fountain Gate. Ni Ally Salim ambaye kwa msimu wa 2024/25 alikuwa chaguo la pili kikosi cha Simba SC na namba moja alikuwa ni Moussa Camara. Chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Salim alianza…
PAZIA la Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC ambayo ni namba nne kwa ubora linakaribia kufunguliwa ikiwa ni siku zinahesabiki kwa kuwa Septemba 17 kazi inatarajiwa kuanza. Leo kuna tamasha kubwa nyanda za juu Kusini, ambapo Mbeya City iliyorejea kwa mara nyingine ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika…
Kwenye suala zima la michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet imeleta mabadiliko makubwa kwa kuzindua Meridian Bonanza, mchezo wa kasino wa kisasa unaowapa wachezaji wake msisimko wa kipekee na nafasi halisi ya ushindi mkubwa. Kwa teknolojia ya hali ya juu na vipengele vilivyobuniwa kwa ustadi, Meridian Bonanza si tu burudani, bali ni jukwaa la ushindi kwa…
Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa kwa sasa Yanga SC hakuna suala la kupeana matumaini bali ni mwendelezo wa dozi pale ambapo waliishia. Ipo wazi kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Kwa sasa wana jambo kubwa la Wiki ya Mwananchi ambalo…
Clatous Chama msimu wa 2025/26 atakuwa ndani ya uzi wa Singida Black Stars kwa changamoto mpya baada ya mkataba wake kuisha ndani ya Yanga SC. Tayari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake huku akiwa amekabidhiwa jezi namba 7 kwa ajili ya mazoezi ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya. Chama Septemba 4 2025 alianza kazi ndani ya…
The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…