
MASHABIKI WAITWA KWA MKAPA SIMBA DAY, WAREJESHA KWA JAMII
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amewaomba mashabiki wa Simba SC kufanya kila linalowezakena lakini wasikosekana Septemba 10 2025 Uwanja wa Mkapa kwenye tamasha la Simba Day. Katika tukio hilo kubwa msimu wa 17 wachezaji, benchi la ufundi watatambulishwa wakiwa kwenye jezi mpya za msimu wa 2025/26 na wanatarajia kucheza…