
OLE MBISHI KINOMANOMA ATAJA SABABU ZA KUBAKI UNITED
OLE Gunnar Solkajaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa ametoka mbali na timu hiyo jambo ambalo linamfanya azidi kubaki ndani ya timu hiyo. Kocha huyo hakuwa na bahati alipokutana na Liverpool na alishuhudia ubao wa Uwanja wa Old Trafford ukisoma Manchester United 0-5 Liverpool ikiwa ni kipigo kikubwa kwa timu hiyo kwa msimu wa…