Simba SC vs TRA United kitaumana Oktoba 30,2025
Simba SC itakaribishwa na TRA United kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali…
Simba SC itakaribishwa na TRA United kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Oktoba 30. Ofisa Habari wa TRA United, Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kuwakabili wapinzani wao kuelekea mchezo huo na maandalizi yapo tayari. Viingilio kwenye mchezo wa Oktoba 30 ni 20,000 VIP na mzunguko ni 10,000 ambapo tiketi…
Yanga SC imepata ushindi wa mabao 2-0 Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa NBC Premier League uliochezwa Uwanja wa KMC Complex. Oktoba 28,2025 wababe hao wawili walikutana kusaka pointi tatu, Mtibwa Sugar waliingia kwa mbinu ya kujilinda zaidi hali iliyofanya wachezaji wa Yaga SC kufanya majaribio mengi wakiwa nje ya 18 ambayo yalifanikiwa kuzama kambani. Mabingwa…
NBC Premier League inaendelea na leo Oktoba 28,2025 kutakuwa na mchezo mkali kwa wababe wawili kukutana Uwanja wa KMC Complex. Ni Yanga SC vs Mtibwa Sugar ya Morogoro hapa tunakuletea baadhi ya matokeo walipokutana mechi zilizopita:- 13/05/2024 FT: Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC 16/12/2023 FT: Yanga SC 4-1 Mtibwa Sugar 31/12/2022 FT: Mtibwa Sugar 0-1…
Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya inaendelea kwa mechi za kukata na shoka ndani ya Meridianbet. Suka jamvi lako la ushindi kwani Real Madrid, Chelsea. Liverpool na wengine kibao wapo kwaajili yako. CARABAO CUP kule Uingereza inaendelea ambapo Grimsby Town ataumana vikali dhidi ya Brentford ambao wanacheza ligi kuu ya Uingereza. Mwenyeji anakipiga kule Uingereza LEAGUE…
MENEJA Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev kwenye mtihani mwingine wa Ligi Kuu Tanzania Bara ugenini msimu wa 2025/26. Simba SC vs TRA United unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Pantev kukaa benchi kwenye mechi za ligi mara baada ya kuchukua mikoba ya Fadlu Davids. Mechi mbili ameongoza Pantev akiwa ndani ya Simba SC ilikuwa…
KWA miaka mingi, ile ladha ya Spinners imekuwa ikiwavuta watu kwenye kasino za mtaani. Yale makelele ya furaha, ule msisimko wa gurudumu likizunguka, na ule mchecheto wa kusubiri kuona kama ishara yako itatua mahali sahihi — hayo ndiyo maisha halisi ya kasino. Hata hivyo, foleni, safari na kusubiri kiti kunaweza kukatisha raha. Kutokana na hali…
KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga SC vs Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex, benchi la ufundi la Wananchi limebainisha ugumu ulipo. Timu hizo mbili zinatarajiwa kukutana saa 10:00 jioni kwenye msako wa pointi tatu muhimu ikiwa ni mchezo wa ligi msimu wa 2025/26. Patrick Mabedi, kocha msaidizi…
Kwa mara ya kwanza katika historia, Tanzania imefanikiwa kupeleka timu nne kwenye hatua ya makundi ya michuano inayoendeshwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Baada ya Simba SC kupata ushindi wa jumla wa 3-0 dhidi ya Nsingizini Hotspurs FC ya Eswatini, Wekundu wa Msimbazi wamejiunga rasmi na Yanga SC katika hatua ya makundi ya Ligi…
Miamba ya soka ya Scotland, Celtic FC, imethibitisha kuwa Meneja wao Brendan Rodgers amejiuzulu rasmi leo kutoka nafasi yake ya ukocha. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa na klabu hiyo, Celtic imesema imepokea na kukubali barua ya kujiuzulu kutoka kwa Rodgers, ambaye ataondoka katika majukumu yake mara moja. “Brendan anaondoka Celtic tukiwa na shukrani kwa nafasi aliyochukua…
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amethibitisha jeshi hilo kumkamata mfanyabiashara wa mtandaoni Jenifer Jovin maarufu Niffer. Kamanda Muliro ametoa kauli hiyo Jumatatu Oktoba 27,2025 baada ya kusambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa mfanyabiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana Sinza jijini Dar es Salaam alipokuwa dukani kwake. “Jeshi la…
Ijumaa haijawahi kuwa na burudani kama hii. Meridianbet wanakuletia Lucky Friday, promosheni ya kipekee inayokufanya uangalie Ijumaa yako kwa mtazamo mpya. Sasa, siku ambayo hapo awali ilionekana kama kawaida, inaweza kuwa chanzo cha furaha, ushindi, na hata fursa ya kurejeshewa hasara zako. Hii si ofa ya kawaida, ni njia ya kuanza wikendi ukiwa na matumaini…
Simba SC imetinga hatua ya makundi kwa kuwaondoa Nsingizini Hotspurs kwenye CAF Champions League huku Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC akibainisha kuwa ambacho walikuwa wanahitaji ni kufuzu hatua ya makundi. Oktoba 26,2025 wababe hawa wawili milango ilikuwa migumu katika dakika 90. Hivyo faida ya ushindi wa ugenini imewapa tiketi…
Yanga SC vs Mtibwa Sugar mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara unatarajiwa kuchezwa Oktoba 28,2025 Uwanja wa KMC Complex. Huo ni mchezo wa ligi ambapo Yanga SC imetoka kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Silver Striker katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Kuelekea mchezo huo mchezaji Clement Mzize ambaye ni mshambuliaji atakosekana kwa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka rekodi ya kipekee katika historia ya michezo nchini baada ya kufanikisha timu nne za Tanzania kufuzu hatua ya makundi ya mashindano ya kimataifa barani Afrika. Timu hizo ni Simba SC na Young Africans SC (Yanga) zilizopenya hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Afrika…
Kampuni inayoongoza michezo ya kubashiri mtandaoni nchini, Meridianbet, imezindua rasmi mchezo mpya wa kasino unaoitwa Gates of Halloween, ambao umeleta upepo wa mapinduzi katika ulimwengu wa burudani mtandaoni. Huu si mchezo tu wa ilimradi bali ni mlango wa kuingia katika dunia ya maajabu, mapepo, bahati, na ushindi wa kutisha. Gates of Halloween ni mchanganyiko kamili…
Jumatatu ya ushindi imekufikia na wakali wa ubashiri Meridianbet leo, baada ya wikendi kumalizika sasa ni zamu ya kuchukua maokoto yako hapa. Ingia kwenye akaunti yako tengeneza jamvi lako na dau lako lolote uibuke bingwa leo. Ureno, PRIMEIRA LIGA itaendelea kwa mechi moja kali ambapo FC Porto atakuwa ugenini kupepetana dhidi ya Moreirense. Mechi ya…