
JEAN AHOUA ANAWINDWA KIMATAIFA
KIUNGO mshambuliaji namba moja wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Jean Ahoua anatajwa kuwindwa na timu kubwa Afrika. Ahoua ni chaguo la kwanza la Fadlu kutokana na uwezo alionao huku mguu wake wenye nguvu ukiwa ni ule wa kulia. Nyota huyo ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika amefunga jumla ya…