MTIBWA SUGAR WAPO SIRIAZ NA JAMBO LAO

MTIBWA Sugar inayotumia Uwanja wa Manungu kwenye mechi za nyumbani wapo siriazi na jambo lao kurejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kushuka na kuibukia ndani ya Championship. Timu hiyo kwa sasa ni namba moja kwenye msimamo ikiwa na jumla ya pointi 60 baada ya kucheza mechi 25 ndani ya ligi msimu wa 2024/25….

Read More

NYOTA WAWILI WA KAZI YANGA FITI KUWAKABILI AZAM FC

KUELEKEA kwenye mchezo wa Mzizima Dabi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex kuna mastaa wawili wa kikosi cha Yanga wapo fiti kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika wanakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Azam FC…

Read More

AUCHO OUT YANGA,KUWAKOSA AZAM FC

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Khalid Aucho atakosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo ni Aprili 10 unatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa pili kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza baada ya dakika 90 ubao…

Read More

NI SIKU YA CHAMPIONS LEAGUE YA MOTO MOTO LEO!

Ikiwa leo ni siku nzuri kabisa ya Jumanne, Ligi ya mabingwa barani Ulaya inaendelea huku wewe ukiwa na nafasi ya kuchukua mpunga wa maana mbele ya Mabingwa wa odds kubwa Tanzania Meridianbet. Tandika jamvi na ushinde hapa. Pale Allianz Arena kati ya Bayern Munich vs Inter Milan huku timu hizi zote zikiwa ndiyo vinara kwenye…

Read More

AZAM FC KUWAKABILI YANGA WAKITOKA KUFUNGWA

BAADA ya mchezo wao uliopita wakiwa ugeneni kupoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Liti ukisoma Singida Black Stars 1-0 Azam FC, kituo kinachofuata ni dhidi ya Yanga. Matajiri wa Dar kwenye mechi mbili ugenini walipata ushindi mchezo mmoja na kuambulia kichapo mchezo mmoja ambapo ushindi ilikuwa Uwanja wa Sokoine, baada ya dakika 90 ubao…

Read More

YANGA WASEPA NA TUZO ZAO MAZIMA

WASHINDI wa tuzo ndani ya Ligi Kuu Bara Tanzania ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika kwa Machi wamesepa na tuzo zao mazima baada ya kukabidhiwa Aprili 7 2025 Uwanja wa KMC Complex. Tuzo hizo walikabidhiwa na wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya NBC benki ya NBC ilikuwa ni kwa Prince Dube ambaye ni mshambuliaji…

Read More

ZUNGUSHA, SHINDA NA JISHINDIE ZAWADI KUBWA KUPITIA MASHINDANO YA SMARTSOFT KWENYE MERIDIANBET!

Kampuni maarufu ya michezo ya kubashiri na burudani ya mtandaoni, Meridianbet, imezindua rasmi kampeni ya kusisimua ya mwezi huu: “Mashindano ya SmartSoft: Zungusha na Ushinde!” Ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Meridianbet kutoa burudani ya kipekee, mashindano haya yanafungua fursa ya kipekee kwa wateja wote kujishindia zawadi kubwa kwa kucheza michezo ya SmartSoft. Jinsi Mashindano…

Read More

YANGA YAKOMBA SITA ZA COASTAL UNION JUMLAJUMLA

KIUNGO wa Yanga, Pacome amepachika bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union uliochezwa Uwanja wa KMC Complex dakika ya 34 kipindi cha kwanza akitumia pasi ya Maxi Nzengeli. Pacome amekuwa kwenye ubora wake na katika mchezo dhidi ya Tabora United, Aprili 2 2025 alitoa pasi mbili za mabao alimpa Prince…

Read More

VIDEO: SIMBA YATANGAZA SILAHA NYINGINE KUWAMALIZA WAARABU

KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa hatua ya robo fainali ya pili kati ya Simba v Al Masry, uongozi wa Simba umebainisha kuwa mashabiki wote wa Dar wanapaswa kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa kumaliza kazi kupata ushindi dhidi ya Al Masry. Simba wamebainisha kwamba wamedhamiria ubaya ubwela na kukusanya kila siala kusaka ushindi na kutangaza…

Read More