
UJUMBE HUU KUTOKA JANGWANI WATUMWA KWA MATAJIRI AZAM
CHADRACK Boka, beki wa Yanga ameweka wazi kuwa ushindani ndani ya ligi ni mgumu jambo ambalo linawafanya wawe makini kila wanaposhuka uwanjani kusaka pointi tatu. Beki huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi ndani ya kikosi cha Yanga msimu wa 2024/25, kituo kinachofuata kwa vinara hao wa ligi ni dhidi ya Azam…