
SALAH KUIBUKIA LA LIGA
KLABU ya Barcelona ya nchini Hispania inayoshiriki La Liga imeonesha nia ya kutaka saini ya Mohamed Salah raia wa Misri anayekipiga katika Klabu ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England . Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Hispania, vimesema kocha wa timu hiyo Xavi ameweka wazi nia yake ya kutaka kumsajili…