KWA FAIDA YA NANI? MNGUTO AJIUZULU, KASONGO ASIMAMISHWA

Katika mfululizo wa matukio makubwa yanayoikumba Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Steven Mnguto amejiuzulu rasmi nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi, huku Ofisa Mtendaji Mkuu, Almasi Kasongo, akisimamishwa kazi na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia. Taarifa ya Juni 13 iliyotolewa na Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidao, imeeleza…

Read More

MICHUANO YA COSAFA KUENDELEA LEO

Michuano ya Kombe la COSAFA 2025 inaendelea leo kwa hatua ya nusu fainali, ambapo mechi mbili za kuvutia zinatarajiwa kupigwa. Katika mchezo wa kwanza, Angola watakutana na Madagascar saa 10:00 jioni, huku mchezo wa pili ukiwakutanisha wenyeji Afrika Kusini dhidi ya Comoro saa 1:00 usiku. Kwa wale wabashiri, Meridianbet imeandaa mazingira bora ya kubashiri kwa…

Read More

MUTALE AWAGAWA MABOSI SIMBA SC

JOSHUA Mutale kiungo mshambuliaji wa Simba SC amewagawanya mabosi wa timu hiyo kutokana na wengine kuhitaji kuona anaondoka huku wengine wakihitaji kuona anabaki ndani ya kikosi hicho. Mutale hakuwa kwenye mwanzo mzuri msimu wa 2024/25 kutokana na mechi ambazo alipewa nafasi kucheza chini ya kiwango. Katika mechi za mzunguko wa pili Mutale amekuwa akifanya kazi…

Read More

KOCHA AZAM FC KUKUTANA NA THANK YOU

INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani Rachid Toussi atakutana na Thank You baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho na mabosi wat imu hiyo wameshafanya maamuzi. Taarifa zinaeleza kuwa Azam FC wanasubiri msimu uishe kwa mechi mbili ambazo zimesalia kukamilisha msimu ambapo watakuwa na mchezo…

Read More

MAMILIONI YANAKUSUBIRI MASHINDANO YA ENDORPHINA

Habari njema kabisa kwa wateja ambao wanashiriki michezo ya Kasino ya mtandaoni imefika leo. Ni mashindano ya Endorphina ambayo yanakupa nafasi ya kipekee ya kushinda mamilioni ya pesa yaani namaanisha kuanzia Milioni 20. Jiunge na Meridianbet utusue kibabe. Mashindano haya ya Endorphina yameanza toka jana tarehe 12 na mwisho wake utakuwa ni tarehe 22 Juni…

Read More

JEMBE SPORTS YOU TUBE YAPEWA TUZO MAALUMU

SHUKRANI kubwa kwa watazamaji na wafuatiliaji wa mtandao wa Jembe Sports kwa kuwa ni watu muhimu kila wakati jambo lililopelekea tuzo maalumu kutoka kwa You Tube. Kwenye ukurasa wa You Tube wa Jembe Sports ni watazamaji zaidi ya laki moja wapo na watu ambao wamebofya kile kitufe cha kuifuata You Tube ya Jembe Sports ni…

Read More