USIKU WA UEFA: NANI ANAKULA SAHANI YA MWISHO?

Meridianbet inakwambia hivi kama jana hujapiga mkwanja kwenye mechi za UEFA za jana, leo hii ndio una nafasi ya kipekee ya kuondoka na ushindi. Chelsea, Inter, PSG na wengine wapo kwaajili yako. Ingia na uasuke jamvi hapa. Mechi kali ni hii ya Bayern Munich dhidi ya Chelsea kule Allianz huku nafasi ya kuondoka na pointi…

Read More

Hiki hapa kikosi cha Yanga SC dhidi ya Simba SC

MABINGWA watetezi wa taji ya Ngao ya Jamii wapo Uwanja wa Mkapa kwenye msako wa ushindi ndani ya uwanja. Dakika 45 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Mkapa ukiwa unasoma Yanga SC 0-0 Simba SC, Septemba 16 2025 huku mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wingi. Katika mchezo wa leo mwamuzi wa kati ni Ahmed Arajiga ambaye anasimamia…

Read More

CHEZA AVIATOR, SHINDA SAMSUNG A25 MPYA KILA JUMATATU

Meridianbet imeleta msisimko mpya kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri mwezi huu wa Septemba, kwa kuzindua promosheni ya kipekee kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Septemba 2025, wachezaji wanapata nafasi ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kila wiki, zawadi zinazotolewa kwa washindi waliocheza kwa ustadi na bahati. Meridianbet itatoa simu…

Read More

YANGA SC YAISOMA SIMBA SC KWA VIDEO KAZI IPO

DICKSON Job beki wa Yanga SC amefichua kwamba wachezaji wageni wamepewa video za wapinzani wao Simba SC ili watambue namna ya kukabiliana nao. Miongoni mwa wachezaji wageni ndani ya kikosi cha Yanga SC ni Celestin Ecua ambaye kwenye mchezo wa Yanga Day dhidi ya Bandari alifunga bao akitumia pasi ya mshambuliaji Prince Dube. Ecua anapewa…

Read More

CHAMA AIPA UBINGWA SINGIDA BLACK STARS ATAJA SIRI

Kiungo mpya wa Klabu ya Singida Black Stars, Clatous Chama ameipa ubingwa wa kwanza timu hiyo baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa fainali Kagame Cup 2025. Singida Black Stars ilitinga hatua ya fainali kwa kuifungashia virago KMC kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali iliyochezwa Uwanja wa KMC Complex. Kwenye mchezo huo uliochezwa…

Read More

Phased Achievements of China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” Project Realized: Educational Outcomes Deepen Bilateral Vocational Education Cooperation

The four teachers participating in the 2025 China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” Project are respectively from Zhengzhou Railway Vocational & Technical College, Zhengzhou Vocational College of Information Technology, and Henan College of Surveying and Mapping. Locally, they taught specialized courses in Civil Engineering, Mechatronics Technology, Artificial Intelligence Technology Application, and Survey and Mapping Engineering Technology…

Read More

BETWAY INAPANUA UZOEFU WA KASINO KWA KUTAMBULISHA MFULULIZO WA MICHEZO YENYE UPEKEE

Betway, Kampuni inayoongoza Duniani kwenye michezo ya kubashiri na burudani mtandaoni, inajivunia kutambulisha ofa yake mpya: Mfululizo wa michezo ya kipekee ya kasino inayopatikana kwenye jukwaa lake lenye ubora wa kiwango cha kimataifa. Uzinduzi huu wa ni sehemu ya ahadi endelevu za Betway za kuwapa wachezaji wake thamani, msisimko na ubunifu zaidi. Mkusanyiko mpya unajumuisha…

Read More