SIMBA SC KUWEKA KAMBI YAKE MISRI

KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kwa maandalizi ya msimu wa 2025/26 kitaweka kambi nchini Misri. Ikumbukwe kwamba leo Julai 29 2025 Simba SC inatarajiwa kutangaza mdhamini mpya na ratiba nzima ya maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kuna wachezaji wapya ambao watatambulishwa hivi karibuni ndani ya…

Read More

MTAMBO WA MABAO SIMBA SC JEAN AHOUA KUONDOKA

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Simba SC msimu wa 2024/25 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC Jean Ahoua huenda akaondoka ndani ya Bongo kwenda kupata changamoto mpya. Inaelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC raia wa Ivory Coast, Ahoua yupo kwenye rada za Klabu ya JS Kabylie ya nchini Algeria kwa…

Read More

SIO FEI TOTO ALIYEFUATWA BAHARI YA HINDI ISHU IPO HIVI

WAKATI jina la kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum likitajwa kuwa miongoni mwa wale ambao wamefuatwa kwenye sanduku la usajili la Simba SC katika kina cha Bahari ya Hindi inaelezwa kuwa jina hilo halipo. Taarifa zinaeleza kuwa jina la Fei limekutana na ugumu mzito kuwa ndani ya Simba SC hivyo jitihada zinaendelea kufanyika mpango…

Read More

JE BALLON D’OR KWENDA KWA NANI OKTOBA?

Msimu ukiwa umemalizika salama na wachezaji kibao wameweza kuonesha uwezo wao, sasa kuna wale ambao walionesha uwezo mkubwa kupita wenzao ambapo tuzo ya kumpata mshindi wa Ballon DOR kufanyika Oktoba. Je upo tayari?. ODDS za kibabe zipo Meridianbet. Beti sasa. OUSMANE DEMBELE ODDS 1.16 Meridianbet wanampa nafasi ya kwanza kuchukua tuzo hiyo mchezaji wa PSG,…

Read More

MARCIO MAXIMO ATANGAZWA KOCHA MKUU MPYA WA KMC FC

Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania Marcio Maximo ametambulishwa kama kocha mkuu mpya wa klabu ya KMC FC akichukua mikoba ya Kally Ongala aliyetupiwa virago mwezi Mei kutokana na mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo. Maximo (63) raia wa Brazil ambaye pia amewahi kuinoa Young Africans Sc anakumbukwa zaidi kwa kuiwezesha Taifa Stars…

Read More

AS FAR RABAT YAAGANA RASMI NA HENOCK INONGA BAKA

Aliyekuwa beki tegemeo wa Simba SC, Henock Inonga Baka, ameaga rasmi klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco baada ya kuitumikia kwa msimu mmoja pekee. Kupitia taarifa rasmi ya klabu hiyo, AS FAR imeuthibitisha kuachana na beki huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa heshima na shukrani kwa mchango wake katika kikosi…

Read More

UBINGWA WA CECAFA WALETA MATUMAINI KUELEKA CHAN, FA AFUNGUKA

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma maarufu kwa jina la FA amebainisha kuwa timu ya Tanzania ipo vizuri. Hayo alisema mara baada ya Tanzania kupata ushindi dhidi ya Uganda. Mwinjuma amesema kwenye mpira wa miguu lolote linaweza kutokea. Ikumbukwe kwamba kwenye mashindano maalumu ya CECAFA ambayo yalishirikisha timu tatu, Tanzania, Uganda…

Read More

SIMBA SC YAPASWA KUJIVUNIA MWAMBA HUYU HAPA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa Fadlu yupo likizo ila anafanya kazi kwa moyo mkubwa akiwa Tanzania. “Katika vitu ambavyo tunapaswa kujivunia kwa hali na mali Wanasimba ni uwepo wa Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Yupo likizo lakini alitoka Afrika Kusini na kuelekea Dubai kuongea na Mo. “Kwa sasa…

Read More

KIUNGO MKENYA NI NJANO NA KIJANI MPAKA 2027

YANGA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz imemuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wa kazi Duke Abuya raia wa Kenya. Abuya ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa katika kikosi cha Yanga SC kilichotwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2024/25 kikiwa na pointi 82 kibindoni baada ya mechi 30. Ni mechi 27 alicheza akikomba dakika 1,496…

Read More

USAJILI WA KWANZA SIMBA HUU HAPA, MSHAMBULIAJI WA MABAO KUTAMBULISHWA

MSIMBAZI kumeanza kumechangamka kupitia usajili baada ya dirisha la usajili kufunguliwa huku wakiwa hajatangaza mchezaji hata mmoja mpya ambaye ameshasaini kandarasi Simba SC. Mabosi wa Singida Black Stars, wameeleza kuwa Jonathan Sowah ambaye ni mshambuliaji wao wameingia makubaliano ya kumuuza ndani ya Simba SC kwa makubaliano maalumu. Hivyo Sowah anakuwa nyota wa kwanza usajili wake…

Read More

HUYU NI KOCHA MPYA YANGA SC CV YAKE

ROMAIN Folz kocha mpya wa Yanga SC ana balaa zito akiwa ni kocha kijana. Kocha huyo ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC 2024/25. Miloud alipewa Thank You Julai 3 2025 hivyo hatakuwa ndani ya Yanga SC msimu wa 2025/26 amepata changamoto mpya Klabu ya Ismaily SC ya Misri….

Read More