
KIKOSI CHA YANGA RASMI KITAKACHOANZA DHIDI YA SIMBA
LEO ni Desemba 11,2021 saa 11:00 jioni mchezo wa ligi kati ya Simba na Yanga unatarajiwa kuchezwa. Hiki hapa kikosi cha Yanga ambacho kinatarajiwa kuanza:- Diarra Djigui Djuma Shaban Dickson Job Kibwana Shomari Bakari Mwamnyeto Jesus Moloko Bangala Yannick Aucho Khalid Feisal Salum Fiston Mayele Said Ntibanzokiza Akiba Johora Yassin Bryson Mauya Makambo Kaseke Yusuf…