
Yanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu
YANGA SC vs Simba SC wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi…
YANGA SC vs Simba SC wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi ndani ya Uwanja Septemba 16 2025. Zimebaki siku tatu kwa watani hawa wa jadi kupambania taji la Ngao ya Jamii ikiwa ni mchezo rasmi wa ufunguzi wa msimu mpya wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 taji la Ngao ya…
Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka kwa mashabiki anamini watajituma kufanya vizuri ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Zimbwe Jr ni miongoni mwa wachezaji waliopokewa kwa shangwe kubwa ndani ya Yanga SC katika utambulisho wake,…
JKT Queens wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa kwa timu ya Wanawake Septemba 14 2025 itakuwa kibaruani kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali. Ni JKT Queens vs Kenya Police Bullets mchezo huo unatarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa Kasarani, ikiwa ni hatua ya nusu fainali. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa JKT Tanzania, Masau…
UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi kuwa una kikosi imara na chenye uwezo wa kuleta ushindani kutokana na maandalizi ambayo yamefanyika. Septemba 10 2025 ilikuwa ni kilele cha tamasha la Simba Day, Uwanja wa Mkapa na ilikuwa ni Full House baada ya mashabiki kujitokeza kwa wingi kuujaza uwanja na kushangilia mwanzo mwisho. Katika tamasha hilo…
YANGA SC imepata ushindi mbele ya Bandari katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo umekamilika dakika 90 kwa ushindi wa bao 1-0 ambalo limedumu mpaka mwisho wa mchezo kirafiki. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo Ecua dakika ya pili kwa pigo la kichwa akiwa ndani ya 18 akitumia pasi ya…
Kikosi cha Yanga SC dhidi ya Bandari FC mchezo wa kirafiki Uwanja wa Mkapa Septemba 12 2025 ikiwa ni kilele cha Wiki ya Mwananchi. Djigui Diarra, Israel Mwenda, Farid Mussa, Bakari Mwamnyeto. Assink, Aziz Andambwile, Maxi Nzengeli. Kouma, Prince Dube, Shekhan, Ecua hawa wameanza kikosi cha kwanza. Wachezaji wa akiba ni Aboutwalib Mshery, Ibrahim Bacca,…
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwako kubadilisha maisha yako?. Meridianbet inakupa hii siku ya leo hapa kwa kukupatia Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000. Unangoja nini sasa?. Ingia na usuke jamvi lako hapa. Leo hii Ureno PRIMEIRA LIGA itaendelea pia kwa mechi mbili ambazo zinaweza kukupatia pesa SL Benfica atakuwa…
Katika zama ambapo michezo ya kubahatisha inazidi kugeuka kuwa burudani ya kidijitali yenye msisimko wa hali ya juu, Meridian Bonanza imeibuka kama nyota mpya inayong’aa angani ikiwa ni tukio la kipekee linalobadilisha namna wachezaji wanavyotazama ushindi, burudani, na teknolojia ya kisasa. Kutoka kwenye muonekano wake wa kuvutia hadi athari za sauti zinazochochea hamu na nguvu…
Huku timu kibao za Uingereza zikiendelea kutafakari nani atakuwa bingwa wa FA CUP msimu huu, tayari mabingwa wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakukaribisha usuke jamvi lako la ushindi. Arsenal wapo kwenye nafasi ya kuwa washindi wa FA Cup kwani mpaka sasa wana ODDS 7.00. Ikumbukwe kuwa vijana wa Arteta msimu uliopita walikosa makombe yote hivyo msimu…
Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mkapa ikiwa ni mchezo wa kitaifa wa kimataifa. Mabao ya Simba SC Septemba 10 2025 yamefungwa na beki wa kati Hamza Abdulrazak dakika ya 7. Ni pigo la Jean Ahoua ambaye alipiga Free Kick kwa mguu wake…
IKIWA imebaki siku moja kabla ya tukio la Yanga Day kufanyika, kiungo mpya katika timu hiyo amejipa kazi nyingine ngumu ili awe imara zaidi. Ikumbukwe kwamba Septemba 12, Yanga SC wamechagua kuwa na tukio la utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa katika kikosi msimu wa 2024/25. Offen Chikola ambaye huyu ni ingizo jipya akitokea…
Katika wiki ya moto kuanzia Septemba 11 hadi 17, 2025, mashabiki wa michezo ya kasino wanapata nafasi ya kipekee kushiriki kwenye promosheni ya kusisimua ya Champions Clash pale Meridianbet ikiwa inaendeshwa na Pragmatic Play. Hii ni fursa ya siku saba ambapo wachezaji watachuana kupitia michezo maarufu kama Gates of Olympus Super Scatter, Sweet Bonanza Super…
Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, amewasili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam akimuwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, kama Mgeni Rasmi katika kilele cha Wiki ya Simba (Simba Day 2025). Katika tukio hilo kubwa linaloendelea hivi sasa, Waziri Aweso ameungana na viongozi wa Simba SC…
Mashabiki wa Simba SC wamejitokeza kwa wingi muda huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, kushuhudia tukio kubwa na la kipekee la Simba Day. Hii ni siku maalum ambayo hutumika kuzindua kikosi kipya cha Simba kwa msimu mpya, kuwatambulisha wachezaji wapya, pamoja na burudani mbalimbali zinazochanganya muziki, michezo ya jukwaani na shamrashamra…
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe ameahidi kuishitua Dunia Keshokutwa katika kilele cha Wiki ya Mwananchi itakayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz ambaye ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekiongoza kikosi hicho kutwaa taji la ubingwa msimu wa 2024/25. Ni Wiki ya…
Simba Day ni tamasha maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi. Katika tamasha hilo kutakuwa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Simba SC vs Gor Mahia watakutana uwanjani. Mashabiki wamejitokeza kwa wingi katika tamasha hili maalumu ambalo linakutanisha wadau wa michezo Tanzania. Mashabiki wamenunua tiketi kwa wingi mara baada ya siku…
Je ni nani mchezaji wako bora kwenye wafungaji bora timu za Taifa hapa Afrika. Wachezaji kibao wanaendelea kuweka rekodi zao huku wengine wakiendelea kuzifukuzia rekodi hizo. Wakati huo huo Meridianbet inakukaribisha kutengeneza jamvi lako la ushindi hapa. Mabingwa watetezi wa Afcon 2023, Ivory Coast ambao kwenye michuano ya kufuzu Kombe la Dunia wapo nafasi ya…