
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la mbele gazeti la Spoti Xtra
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la mbele gazeti la Spoti Xtra
TIMU ya Chelsea leo imeonja joto ya jiwe kwa kuchapwa mabao 3-2 dhidi ya West Ham United. Licha ya Thiago Silva kuanza kupachika bao dakika ya 28 halikuweza kuwatoa kwenye reli West Ham kwa kuwa waliweka usawa dakika ya 40 kupitia kwa Manuel Lanzini ambaye alifunga kwa mkwaju wa penalti. Chelsea ilitumia dakika nne kuandika…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hataki kuteseka kwa kupoteza kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Red Arrows ya Zambia ambao ni wa marudio. Mchezo huo wa Kombe la Shirikisho unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ambapo mshindi wa jumla atatinga hatua ya makundi. Simba inakumbuka kwamba mchezo wa kwanza ilishinda mabao 3-0 Uwanja…
DAU la nyota kikosi cha Borussia Dortmund, Erling Haaland ambaye anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Real Madrid limefichwa kwa wakati huu. Ripoti zinaeleza kuwa Haaland mpaka sasa bado hajafanya maamuzi ya wapi atakuwa kwa ajili ya kupata changamoto mpya licha ya timu nyingi kutajwa kuwania saini yake ili kuweza kumpata mshambuliaji huyo Mabosi…
TUME ya Ushindani wa Biashara (FCC) imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa mpira wakiitaka kuchunguza udhamini uliofanywa na kampuni ya GSM kwa Ligi Kuu ya NBC kama hautaathiri ushindani wa soka nchini. Wadau hao wamewasilisha malalamiko yao kwa maandishi ndani ya tume hiyo Jumatatu ya Novemba 29, 2021 wiki hii kwa mujibu wa…
WAMESHINDA katika hilo nakubali walicheza mchezo wao kwa kujituma na nyota wao akiwa ni Bernard Morrison hapo kuna jambo linapaswa kufanyiwa kazi. Kwa wale wanaopenda mpira wanajua maana ya kucheza kama timu na kucheza kwa mchezaji mmoja hapo kwa wawakilishi wetu Simba kimataifa lazima washtuke. Mchezo wao ujao dhidi ya Red Arrows sio wa kitoto…
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa masuala yote yanayohusu usajili yapo mikononi mwa benchi la ufundi hivyo wao wakitoa ripoti uongozi unafanya kazi ya kuwaleta wachezaji hao. Kwa msimu wa 2021/22 mabosi wa Azam FC wameshudia timu hiyo ikiwa kwenye mwendo wa kusuasa baada ya kucheza mechi sita imekusanya pointi saba na safu ya…
MATAIFA manne yalitosha kuwatuliza Wazambia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao uliposoma Simba 3-0 Red Arrows. Ni Bernard Morrison kutoka Ghana aliweza kuwapa tabu Wazambia kwa kuwa alihusika kwenye mabao yote matatu, alifunga mawili na kutoa pasi moja ya bao. Meddie Kagere raia wa Rwanda aliweza kufunga bao moja kwa…
NICHOLAS Gyan kiungo wa zamani wa Klabu ya Simba ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya kikosi cha DTB kinachoshiriki Championship amesema kuwa hana tatizo ikiwa Yanga watampa ofa yeye atasaini kwa kuwa mpira ni kazi yake. Novemba 29 Gyan aliweza kufunga bao lake la kwanza akiwa na timu yake ya DTB kwenye mchezo dhidi ya…
KIKOSI cha Simba kwa sasa kipo nchini Zambia ambapo kimewasili jana Desemba 3 kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Red Arrows. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho, Desemba 5 ambapo utakuwa ni wa marudio baada ya ule wa awali uliochezwa Uwanja wa Mkapa Simba kushinda mabao 3-0. Kitu…
BAKARI Mwamnyeto, nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa mipango ya timu hiyo kwa msimu wa 2021/22 ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Yanga ni namba moja kwenye msimamo ikiwa na pointi 19 baada ya kucheza mechi 7 na imekusanya jumla ya mabao 12 ambayo yamefungwa na timu hiyo. Safu ya ulinzi imekuwa imara…
KIUNGO Mshambuliaji kutoka nchini Ghana na klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Bernard Morrison ameanza kujihami na changamoto za kubambikiwa kesi ya kukutwa na Maambukizi ya Virusi vya Corona. Morrison ameonesha hali hiyo kwa kuweka picha kwenye ukurasa wake wa Instagarm inayomuonesha akiwa Uwanja wa Ndege, amevaa Barakoa hadi machoni. Morisson ameandika: Trying to protect myself…
Baadhi ya mitanange ya kibabe kuchezwa kwenye ulimwengu wa kandanda wikiendi hii. Ni Super Weekend ya kibabe sana viwanjani. Mchongo upo Meridianbet, mambo yapo hivi; Kwenye Bundesliga wikiendi hii, Borussia Dortmund kuchuana na Bayern Munich pale Signal Iduna Park. Uwanja ungependezeshwa kwa rangi za njano na nyekundu lakini, mlipuko wa Covid 19, unasababisha mchezo…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
MUKOKO Tonombe kiungo wa Klabu ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba hawana hofu yoyote watapambana kupata ushindi. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 19 baada ya kucheza mechi saba za ligi huku wakiwa wameshinda mechi sita na kulazimisha…
BAADA ya kumaliza kazi ya kusepa na pointi tatu muhimu mbele ya Mtibwa Sugar, matajiri wa Dar hesabu zao kwa sasa ni kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC iliibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wao uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar ilikuwa ni Novemba 30, Uwanja wa…
BERNARD Morrison, mzee wa kuchetua ametuma ujumbe kwa Red Arrows ya Zambia kwa kuweka wazi kwamba wanahitaji ushindi kwenye mchezo wao wa marudio katika Kombe la Shirikisho. Morrison alikuwa ni nyota wa mchezo ule wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa licha ya kuwa na changamoto ya maji kwenye ule uwanja aliweza kuhusika kwenye mabao yote…