
SIMBA V GEITA GOLD, MINZIRO APEWA SOMO,ATHARI KWA SIMBA
KUELEKEA kwenye mchezo wa leo wa Simba v Geita Gold, mchambuzi wa masuala ya michezo ndani ya ardhi ya Tanzania, Mussa Mateja ameweka wazi kwamba mchezo wa leo utakuwa na ushindani kwa timu zote mbili. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Franco Pablo leo itawakaribisha Geita Gold kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa Mkapa. Mateja ameweka wazi…