
YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA BIASHARA UNITED
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga wameweka wazi kwamba wanahitaji pointi tatu za Biashara United kwenye mchezo wao wa ligi unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa. Yanga ipo nafasi ya kwanza na pointi zake 23 inatarajiwa kukutana na Biashara United iliyo nafasi ya 14 na pointi 8. Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa…