Home Sports BREAKING:VIDEO:SURE BOY RASMI NI MALI YA YANGA

BREAKING:VIDEO:SURE BOY RASMI NI MALI YA YANGA

RASMI uongozi wa Yanga umeweka wazi kwamba umemalizana na nyota wa Azam FC, kiungo Salum Aboubhakari ukiwa ni usajili wa kwanza kwenye dirisha dogo ambalo limefunguliwa Desemba 16,2021 na linatarajiwa kufungwa Desemba 16.

Previous articleDAKIKA 90, KMC 1-4 SIMBA
Next articleRASMI: SURE BOY ATAMBULISHWA YANGA