
VIDEO: MERIDIAN YAJA NA SOKA LA MTAANI
KAMPUNI ya Meridian Bet imeandaa muendelezo wa Bonanza lao mashindano ya mtaani ya Meridian Bet street soccer bonanza litafanyika leo kwenye uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Meridian Bet imeandaa muendelezo wa Bonanza lao mashindano ya mtaani ya Meridian Bet street soccer bonanza litafanyika leo kwenye uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke, Dar es Salaam
BEKI wa zamani wa kikosi cha Yanga, Nadir Haroub, ‘Canavaro’ ameweka wazi kuwa kwa zama ambazo alikuwa akicheza yeye mpira wa ushindani bado hajaona ambaye ameweza kumfikia nyota wa zamani wa Simba Emanuel Okwi. Canavaro amebainisha kwamba hawezi kusema maneno mengi zaidi ya kusema kwamba hakuna kama Okwi.
MWINYI Zahera, Mkurugenzi wa Benchi la Ufundi kwenye timu za Vijana ndani ya kikosi cha Yanga ameweka wazi kuwa mshambuliaji Heritier Makambo hahitaji nafasi nyingi ili aweze kufunga. Desemba 15,Uwanja wa Mkapa Makambo alitupia mabao matatu kwenye ushindi wa mabao manne dhidi ya Ihefu FC mchezo wa Kombe la Shirikisho na bao moja lilifungwa na…
MKAZI wa Morogoro amefanikiwa kuibuka mshindi wa mkwanja mrefu baada ya kufanikiwa kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kweye Jacpot ya wiki iliyopita, Mshindi wa SportPesa Jackpot bonus pichani ni Kassim Said Liuzilo mwenye miaka 52, ambaye ni kutoka Kilombero, Morogoro. Liuzilo ameshikilia mfano wa hundi ya shilingi 10,534,628 baada ya kubashiri kwa…
SELEMAN Matola,Kocha Msaidizi wa Simba ameweka wazi kuwa viwango vya wachezaji wa timu hiyo ikiwa ni pamoja na Pape Sakho na Jimmyson Mwanuke vinazidi kuimarika kwa kuwa walifanya vizuri walipopewa nafasi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya JKT Tanzania. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Desemba 14, Simba iliibuka na ushindi…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu FC amesema kuwa alikuwa anawalinda wachezaji wake ili wasiweze kuumia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa. jana Desemba 15. Katika mchezo huo Ihefu ilipoteza kwa kufungwa mabao 4-0 dhidi ya Yanga nawatupiaji walikuwa ni Heritier Makambo ambaye alifunga mabao matatu na Khalid…
BOBAN Zirintusa, mshambuliaji wa Mtibwa Sugar ni miongoni mwa mastaa waliosepa na mpira baada ya kufunga hat trick katika mchezo wa Kombe la Shirikisho. Aliweza kufanya hivyo Desemba 15 wakati timu ya Mtibwa Sugar ilipotoa dozi ya kifurushi cha wiki kwa Tunduma United ambapo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mtibwa Sugar 7-1 Tunduma United….
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi wapo kwenye hesabu za kumsaka winga wa kazi ili awe ndani ya kikosi hicho. Yanga inahitaji kufanya maboresho kidogo kwenye eneo la winga ili kuongeza makali kwenye kikosi hicho. Jina na Chico Ushindi winga mwenye miaka 25 anayekipiga ndani ya TP Mazembe anatajwa kuwa kwenye…
MASHINE hizi mbili mali ya Simba ni ndani ya Spoti Xtra Alhamisi, nakala yake ni jero tu mezani
WAMEANZA kutamba sasa kuelekea msimu wa X Mass Arsenal wamefanikiwa kubakiza pointi tatu muhimu katika uwanja wao wa nyumbani. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu England Arsenal imesepa na pointi tatu muhimu mbele ya West Ham United baada ya ushindi wa mabao 2-0. Mabao ya Martinell dakika ya 48 na Smith Rowe ambaye alianzia benchi…
USHINDI wa mabao 4-0 dhidi ya Ihefu FC Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu unawafanya waweze kutinga raundi ya nne. Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ilipachika mabao 3-0 kipindi cha kwanza na kuwafanya waende vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa vifua mbele. Watupiaji wa Yanga ni Heritier Makambo…
UWANJA wa Mkapa mchezo wa Kombe la Shirikisho raundi ya tatu mchezo kati ya Yanga v Ihefu FC ni mapumziko. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inaongoza kwa mabao 3-0 na kuwafanya waende vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa vifua mbele. Watupiaji wa Yanga ni Heritier Makambo ambaye ametupia mabao mawili dk ya 5 na…
MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Sergio Aguero mwenye miaka 33 ametangaza kustaafu soka kwa wakati huu kutokana na tatizo la moyo na amesema kuwa maamuzi hayo ni kwa ajili ya afya. Aguero alianza kupata maumivu katika mchezo uliokamilka kwa sare ya kufungana bao mojamoja kati ya Barcelona dhidi ya Alaves ilikuwa ni Oktoba 2021. Ikumbukwe kwamba Aguero…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mchezo wa leo dhidi ya Ihefu ambao ni wa Kombe la Shirikisho ni bora kuliko ule wa Simba uliochezwa Jumamosi, Uwanja wa Mkapa na ngoma kukamilika kwa sare ya bila kufungana. Thabit Kandoro,Mkurugenzi wa Mashindano ndani ya Yanga amesema kuwa wanakazi kubwa ya kufanya mbele ya Ihefu FC kwenye…
KUSHINDWA kutumia makosa ambayo mpinzani wako anafanya kwenye mpira ni sababu namba moja itakayofanya timu ishindwe kupata matokeo. Na yule ambaye hatafanya makosa ana uhakika mkubwa wa kupata kile ambacho anastahili hivyo ipo wazi kwamba matokeo hayapaswi kubebwa na mashabiki kwenye mifuko yao. Baada ya Kariakoo Dabi kukamilika Uwanja wa Mkapa tumeona baadhi ya mashabiki…
ABDALAH Mohamed, ‘Bares’ Kocha Mkuu wa JKT Tanzania inayoshikiri Championship amesema kuwa walikwama kupata matokeo mbele ya Simba jana Desemba 14 Uwanja wa Mkapa kwa kushindwa kutumia nafasi ambazo walitengeneza. JKT Tanzania ikiwa Uwanja wa Mkapa ilishuhudia ubao ukisoma Simba 1-0 JKT Tanzania na kuondolewa kwenye raundi ya tatu ya Kombe la Shirikisho. Mtupiaji alikuwa…
SIMBA huenda ikaachana na wachezaji watano mwishoni mwa msimu huu mara baada ya mikataba yao kumalizika,kati ya hao yupo beki Muivory Coast, Pascal Serge Wawa. Hiyo ni katika kuhakikisha wanakuwa na kikosi imara kitakachofanya vizuri msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali. Tayari uongozi wa Simba umeanza kufanya mazungumzo na baadhi ya wachezaji wapyawatakaowasajili.Mmoja wa mabosi wa Simba, ameliambia Spoti Xtra kuwa, wachezaji hao baadhi wataachwa kutokana na umri mkubwa walionao….