
USAJILI UNAHITAJI UMAKINI,WAAMUZI MNA KAZI A KUFANYA
WAKATI mwingine sasa kwenye ulimwengu wa soka Bongo ni muda wa usajili wa dirisha dogo ambapo ni fursa kwa timu kuboresha pale ambapo wameona kuna matatizo. Usajili wa dirisha dogo huwa hauwi mkubwa sana kwa kuwa ni nafasi chache ambazo zinahitajika kufanyiwa kazi kulingana na ripoti ya benchi la ufundi. Jambo la msingi ambalo linapaswa…