
AZAM WAPETA,KAZI LEO INAENDELEA
BAADA ya Keneth Muguna wa Azam FC kufunga mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi na kupewa zawadi ya laki tano na NIC Tanzania, kazi yao inayofuata ni dhidi ya Yosso Boys,Januari 8. Alipewa zawadi hiyo baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Amaan. Ilikuwa ni…