KICHAPO CHA LIVERPOOL CHAMUIBUA KLOPP
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa hajapendezwa na matokeo ya timu hiyo kupoteza kwa kufungwa mbele ya Leicester City. Usiku wa kuamkia leo Desemba 29 ubao wa Uwanja wa King Power ulisoma Leicester City 1-0 Liverpool. Bao la Ademola Lookman dakika ya 59 lilitosha kuwapa pointi tatu mazima. Licha ya Liverpool kupiga jumla…