MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumanne
HATMA ya kiungo mshambuliaji, Ousmane Sakho na beki Pascal Wawa na wenzao watatu wanaotajwa kuweza kuachwa kwenye usajili wa dirisha dogo itajulikana hivi karibuni kwa kuwa tayari Kocha Mkuu, Pablo Franco ameshakabidhi ripoti ya usajili. Nyota wengine wanaotajwa kuweza kuachwa katika timu hiyo ni kiungo, Duncan Nyoni, kipa Jeremiah Kisubi, na kiungo mkabaji Abdoulswamad…
BAADA ya kuvunja mkataba na mabosi wake wa zamani Yanga sasa Wazir Junior ni mali ya Dodoma Jiji. Dili lake ni la mwaka mmoja na miezi sita kwa ajili ya kuweza kuitumikia timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Mbwana Makata. Mshambuliaji huyo anatarajiwa kuanza kuonekana kwenye kikosi hicho kwa msimu huu wa 2021/22 ndani ya…
Bruce Kangwa, Nivere Tigere na Prince Dube wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi kuu Bara ujao dhidi ya Simba. Nyota hao wote watatu wameanza mazoezi katika timu ya taifa ya Zimbabwe. Simba na Azam FC zinatarajiwa kumenyana Januari Mosi 2022 kwenye mchezo wa kwanza wa ligi mwaka mpya. Nyota hao wote wapo nchini Zimbabwe tayari kwa…
KATIKA gazeti la Spoti Xtra Jumanne kuna ishu ya Yanga kupigwa na kitu kizito na Simba, usikose nakala yako kwa jero.
JONAS Mkude, kiungo wa kazi zote chafu ndani ya uwanja amefunga kibabe mwaka 2021 kwa kutoa pasi yake ya kwanza ambayo ilikuwa ni zawadi ya Krismasi kwa mashabiki wake. Kiungo huyo ambaye kwa sasa ni chaguo la kwanza chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco awali zama za Didier Gomes hakuwa na nafasi ya kucheza kutokana…
KLABU ya KMC kwa msimu wa 2021/22 kwenye mechi zao mbili za vigogo ndani ya ligi hawajawa na bahati ya kusepa na pointi tatu zaidi walikuwa wakiambulia maumivu ya kunyooshwa. Ikumbukwe kwamba KMC makazi yao yapo Dar lakini kwa mechi zilizokuwa zikiwakutanisha dhidi Yanga na Simba walikuwa wakizipeleka nje ya Dar. Ilikuwa ni ile dhidi…
2021 kwa sasa inahitaji kutuacha kwa kuwa tayari yale mapigano yote yamefanyika na wapo ambao wameambulia maumivu na wengine ilikuwa ni furaha kwao. Kwenye ulimwengu wa mpira tumeona namna ushindani ulivyokuwa kwa kila timu kupambana kusaka ushindi hilo ni jambo la msingi na ni muhimu kuendelea kufanyika. Pia kwenye Ligi ya Wanawake Tanzania nayo pia…
VIGOGO wa Kamati ya Usajili ya Simba, chini ya Mtendaji Mkuu (C.E.O.) wa timu hiyo, Barbara Gonzalez, wameona isiwe shida na kuchukua maamuzi ya kupanda ndege kumfuata kiungo wao mchezeshaji Mzambia Clatous Chama anayekipiga RS Berkane ya nchini Morocco. Kiungo huyo anawindwa vikali na Yanga katika usajili huu wa dirisha dogo lililofunguliwa Desemba16, mwaka huu kwa ajili ya kukiboresha kikosi hicho. Simba imepanga kukiboresha…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
2021 kikosi cha Yanga kimefungua maboksi ya zawadi ya Christmas kwa ushindi mbele ya Biashara United ya Mara. Dakika 90 zimekamilika Uwanja wa Mkapa kwa ubao kusoma Yanga 2-1 Biashara United. Biashara United walianza kupata bao la kuongoza dakika ya 2 kupitia kwa Atupele Green wakashindwa kulilinda. Bao la usawa kwa Yanga lilipachikwa kimiani na…
KIKOSI cha Yanga leo Desemba 26 kitakachoanza dhidi ya Biashara United, Uwanja wa Mkapa.
BEKI wa zamani wa Manchester United Paul Parker anaamini kama beki wa Chelsea, Antonio Rudiger angetua kikosini hapo basi huenda angekuwa msaada mkubwa. Nyota huyo kuelekea Januari mwakani atakuwa huru kuzungumza na timu yoyote ambayo itakuwa inahitaji huduma yake. Mkataba wake ndani ya Chelsea kwa sasa upo ukingoni kumeguka na mabosi wa timu hiyo nao…
MASTAA wa Yanga wameweka wazi kuwa watakachowafanyia Biashara United ni kuchukua pointi zao tatu kwa ajili ya kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa msimu huu. Yanga kwa sasa ni vinara wa Ligi Kuu Bara wakiwa wamejikusanyia jumla ya alama 23 mara baada ya kushinda michezo saba na kutoa sare miwili katika michezo tisa ambayo wamecheza mpaka sasa. Yanga leo Jumapili Desemba 26, wanatarajiwa kumenyana na Biashara United katika mchezo unaotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar….
MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ameweka wazi kuwa Simba ipo imara na hesabu kubwa ni kutimiza malengo waliyojiwekea kutokana na wachezaji walionao kujituma. Kwa sasa Simba inapambana kuweza kutetea taji lake ililotwaa msimu uliopita wakivutana kwa kasi na vinara wa ligi ambao ni Yanga wenye pointi 23 huku Simba wakiwa nafasi ya pili na pointi 21. Barbara amesema kuwa wanazidi kufanya mambomazuri kwa ajili ya timu na kwa sasa…
IMEFICHUKA kuwa uongozi wa Klabu ya Yanga umeingilia dili la kumnasa nahodha wa Biashara United, Abulmajid Mangalo ambaye amekuwa akiwindwa kwa ukaribu na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba. Hivi karibuni, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, aliwasilisha ripoti ya usajili ambapo miongoni mwa maeneo ambayo amehitaji yafanyiwe maboreshio ni nafasi ya mlinzi wa kati akitaka beki kuja kuwapa changamoto, Dickson Job na Bakari Mwamnyeto. Mpaka sasa Mangalo amebakisha…
IMEBAINIKA kuwa mabosi wa Simba wapo katika harakati za kumrudisha kiungo mkabaji Gerson Fraga raia waBrazil kwa ajili ya kuziba pengo la kiungo Taddeo Lwanga ambaye amekuwa na majeraha ya mara kwa mara Lwanga ameshindwa kuitumikia Simba katika ligi kuu mara baada ya kuumia katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Jwaneng Galaxy ambapo katika mchezo huo Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-1. Simba kwa sasa wamekuwa wakiwatumia…