Home International JIONEE MAKUNDI YA KOMBE LA SHIRIKISHO

JIONEE MAKUNDI YA KOMBE LA SHIRIKISHO

HIVI ndivyo makundi ya Kombe la Shirikisho namna ambavyo yamepangwa leo Desemba 28,Misri:-

Kundi A ni Pyramids FC,CS Sfaxen, Zanaco na Ahli Tripoli.

Kundi B ni JSK/R. Leopards, Orlando Pirates, JS Saoura na Al Ittihad.

Kundi C linatimu nne ambazo ni TP Mazembe,Cotton Sport FC. Al Masry, AS Otoho.

Simba kutoka Tanzania ipo kundi D pamoja na RS Berkane ya Morocco na nyingine ni ASEC Mimosas, USGN ambazo zipo kundi moja katika Kombe la Shirikisho.

Previous articleUSIPIME YANGA WAFANYA YAO GYM – PICHA
Next articleRATIBA YA SIMBA HII HAPA KOMBE LA SHIRIKISHO