
PITSO:YANGA INAHITAJI MUDA KUWA IMARA
KOCHA mwenye uzoefu mkubwa Afrika raia wa Afrika Kusini ambaye aliweza kubwaga manyanga ndani ya Klabu ya Al Ahly ya Misri,Pitso Mosimane amesema kuwa Klabu ya Yanga ina wachezaji bora lakini wanahitaji muda kuwa imara. Pitso alikuwepo kwenye Tamasha la Wiki ya Mwananchi,Agosti 6,2022 alishuhudia Uwanja wa Mkapa ubao ukisoma Yanga 0-2 Vipers kwenye mchezo…