
VIDEO: YANGA WAAMBIWA WAJIFUNZE KWA WATANI ZAO
MWANDISHI mkongwe wa masuala ya michezo Afrika Mashariki na Kati, Saleh Jembe ameweka wazi kuwa kimataifa sio kwepesi ni lazima kwa Yanga kujifunza ili kupata matokeo kwenye mechi zote watakazocheza
MWANDISHI mkongwe wa masuala ya michezo Afrika Mashariki na Kati, Saleh Jembe ameweka wazi kuwa kimataifa sio kwepesi ni lazima kwa Yanga kujifunza ili kupata matokeo kwenye mechi zote watakazocheza
WAZAWA wawili ambao kwa sasa wanakinoa kikosi cha Simba wote wameanza mwendo wao kwa kasi nzuri wanastahili pongezi na kuongza juhudi zaidi katika kutimiza majukumu yao. Kocha Mkuu, Juma Mgunda ameanza kibarua kwenye nyakati ngumu kwa kuwa timu ilikuwa bado haijaungana na muunganiko wake ulikuwa unatafutwa. Kuondoka kwa Zoran Maki na mikoba yake kuwa mikononi…
LEGEND wa soka Bongo, Ally Maya Tembele amebainisha kuwa taarifa za kuteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Tanzania zilimfikia kwa kustukizwa na hakuwa na tetesi za kuwa atapewa nafasi hiyo. Septemba 20 Mayay aliteuliwa kuchukua nafasi ya Yusuph Singo aliyepangiwa majukumu mengine. Mayay alibainisha hayo alipokuwa mubashara kwenye kipindi cha Krosi…
MBINU 4, Al Hila wanakufa, Ibenge ashtuka awa mpole, kocha Msauz aomba kazi Sima SC ndani ya Championi Jumatano
SENZO CEO aibuka tena Yanga, Al Hilal wamrudisha Yanga nyumbani afunguka haya CAF
KMC leo imepata ushindi wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Uhuru kusoma KMC 2-1 Ihefu FC. Ni mshambuliaji mzawa, Matheo Anthony alipachika bao la mapema dakika ya 3 huku Raphael Daud dakika ya 34 aliweka usawa kwa Ihefu na kuwafanya waende mapumziko wakiwa wametoshana nguvu. Kipindi…
MWANDISHI mkongwe katika masuala ya michezo Afrika Mashariki na kati ameweka wazi kuwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa kati ya Zalan FC na Yanga umekwisha, Yanga walipata bahati kwa kuwa hawakupata timu ngumu kimataifa hilo limewasaidia kujipanga kuwa vizuri na hata Simba ingewapata hao ingepata bahati. Kuhusu de Agosto ya Angola ambao ni wapinzani wa…
SHABIKI wa Yanga amesema kuwa Fiston Mayele angepata nafasi ya kucheza dhidi ya Big Bullets angewafunga mabao mengi, amebainisha kuwa Yanga ni timu kubwa huku akibainisha kuwa mshambuliaji wa Simba, Moses Phiri ni moja ya washambuliaji wazuri huku mzungu wa Simba akiwa ni wakawaida kwani hata Zawad Mauya huwa anafanya hivyo
ANAZIDI kuimarika akiwa langoni, Aboutwalib Mshery na alipewa dakika 90 mbele ya Zalan FC mchezo wa kwanza na ule wa pili alitumia dakika 45. Sababu ya kupewa nafasi kikosi cha kwanza ni kutokana na maumivu ambayo alikuwa nayo kipa namba moja, Diarra Djigui hivyo kazi ikawa kwake kutimiza majukumu ya timu. Kutinga hatua ya awali…
DAKIKA 180 kimataifa dhidi ya Nyassa Big Bullets lango la Simba lilikuwa salama chini ya kiongozi Aishi Manula aliyekuwa langoni. Huyu ni kipa namba moja ambaye anazidi kuwa imara kila anapokaa langoni na huwa anafanya makosa ambayo yanapelekea kufungwa. Kufungwa haina maana kwamba hayupo imara hapana ni matokeo ambayo yanatokea uwanjani na wakati unakuja anafanyia…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameanza kuwafuatilia wapinzani wake kimataifa katika hatua ya awali Ligi ya Mabingwa unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 7 na 9 Uwanja wa Mkapa. Yanga imetinga hatua hiyo kwa jumla ya ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya Zalan FC katika mechi mbili ambazo wamecheza. Ni Al Hilal ya Sudan itamenyana na Yanga…
MTIKISIKO unapatikana kila baada ya matokeo mabaya kwenye mioyo ya Watanzania baada ya matokeo mabovu huwa ni mkubwa. Hili linatokana na namna ambavyo kila mmoja anapenda kuona mafanikio kwa wachezaji wa ndani wanaocheza timu ya taifa. Haiajalishi ni Timu ya Taifa ya Wanawake, Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ama timu ya Taifa ya…
WAPINZANI wa Yanga kimataifa raundi ya kwanza Al Hilal kutoka Sudan ni moja ya timu yenye utajiri mkubwa na inatarajiwa kupambana na Yanga kimataifa kati ya Oktoba 7 na ule wa marudio utachezwa ugenini kati ya Oktoba 14
BAADA ya kuvuna pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mbeya City kwa ushindi wa bao 1-0, hesabu za Klabu ya Azam FC ni kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Tanzania Prisons. Septemba 14, kikosi cha Azam FC kilirejea Dar na Ijumaa kilianza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Prisons…
USHINDI wa mabao 2-0 dhidi ya Big Bullets ambao wameupata Simba umewafanya mashabiki kuwa na furha huku wakiimba wimbo wao pendwa mlete mzungu
LIGI ya Mabingwa Afrika hatua ya awali imekamilika na zile timu ambazo zimesonga mbele kimataifa zimewatambua wapinzani wao hatua inayofuata ikiwa ni pamoja na Yanga na Simba kutoka Tanzania. Hivi ndivyo ambavyo itakuwa kwa hatua ya kimataifa inayofuata itakuwa namna hii:- Rivers United v Wydad AC Plateau United v Espérance Tunis ASN Nigelec v Raja…
MSHAMBULIAJI namba moja wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa anafuraha ya kuwa miongoni mwa nyota walioweka historia kwa kufunga mabao mengi Ligi ya Mabingwa Afrika. Mayele katupia mabao sita msimu huu alifunga hat trick mbili ilikuwa mbele ya Zalan FC kwenye mechi mbili za hatua ya awali. Nyota huyo amesema:”Ilikuwa ni mechi ngumu kwetu mbele…