KIMATAIFA:YANGA 0-0 ZALAN FC

UWANJA wa Mkapa, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya awali ubao unasoma Yanga 0-0 Zalan, FC. Hakuna mbabe kwa timu zote mbili kwa sasa ndani ya dakika 45 huku Yanga ikionekana kuanza kwa kasi kuliandama lango la Zalan FC. Mashuti 8 Yanga wamepiga hajalenga lango huku Zalan FC wao wakipiga shuti moja ambalo…

Read More

GEITA GOLD: MAKOSA YETU TUMEFANYIA KAZI

KOCHA Msaidizi wa Geita Gold, Mathias Wandiba ameweka wazi kuwa makosa ambayo waliyafanya kwenye mchezo wa kwanza wameyafanyia kazi leo watayarekebisha. Jana Septemba 16, 2022 Geita Gold ilifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Azam Complex kujiweka sawa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Hilal Al Sahil. Kwenye mchezo wa kwanza wakiwa…

Read More

SIMBA: TUPO TAYARI KUIKABILI BIG BULLETS

NAHODHA Msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Nyassa Big Bullets unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda itaingia uwanjani ikiwa na faida ya mabao 2-0 ambayo waliyapata ugenini na ina rekodi ya kutolewa na Jwaneng Galaxy Uwanja wa Mkapa…

Read More

MASTAA WANNE YANGA KUIKOSA ZALAN FC, MORRISON, DJUMA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa mastaa wake wanne wanatarajia kukosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Zalan FC ya Sudan Kusini. Djuma Shaban, Khalid Aucho, Bernard Morrison na Joyce Lomalisa hawa wanatarajia kuwakosa Wasudan hao. Leo Jumamosi, Uwanja wa Mkapa Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa…

Read More

HAALAND ASEPA NA TUZO YA MCHEZAJI BORA

STAA wa Manchester City Erling Haaland ametajwa kuwa Mchezaji Bora Premier katika mwezi Agosti, (mwezi uliopita). Mshambuliaji huyo Mnorway ametwaa tuzo hiyo baada ya kuanza vyema maisha yake kwenye Premier, akitimiza majukumu yake kwa kuifanya City kutokufungwa hadi sasa katika ligi hiyo. Wampeta ushindi dhidi ya West Ham United, AFC Bournemouth, Crystal Palace, Nottingham Forest…

Read More

HATMA YA JUMA MGUNDA SIMBA IMEKAA HIVI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa umempa mkataba wa muda kocha Juma Mgunda na hatma yakeipo kwa kocha mpya ambaye atakuja kukinoa kikosi hicho hivi karibuni. Mgunda amekabidhiwa timu na mabosi wa Simba baada ya kutangaza kuachana na Mserbia, Zoran Maki ambaye alikiongoza kikosi hicho kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na alishinda zote. Maki ametangazwa…

Read More

MKALI WA MIPIRA MIREFU AMEFUNGUA AKAUNTI YA MABAO

HASSAN Nassoro kiungo wa Mbeya City ni miongoni mwa wazawa wenye uwezo wa kupiga mipira mirefu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Kiungo huyo mwenye rasta kichwani ni ingizo jipya ndani ya Mbeya City akitokea kikosi cha Dodoma Jiji. Alikuwa miongoni mwa nyota walioshuhudia timu hiyo ikipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Singida Big…

Read More

EPL YARUDI NDANI YA DStv WIKIENDI HII

DStv wanaenedelea kuwa mstari wa mbele kuwaletea wapenzi wa soka mechi hizi na tiketi yako ni dikoda tu! Kwa ofa yao kabambe ya TSH 69,000 tu unaweza kupata DStv dikoda yako safi, pamoja na kifurushi bure cha Shangwe! Baada ya kipindi cha maombolezo barani Uingereza, ligi kuu ya soka PREMIER LEAGUE inarudi wikiendi hii, na…

Read More

SIMBA YAOMBA SAPOTI YA MASHABIKI

MOHAMED Hussein,nahodha msaidizi wa Simba amesema kuwa mashabiki wa timu hiyo wanapaswa kuendelea kuwa pamoja nao kwenye mechi zote wanazocheza ili kuwapa nguvu ya kupambana. Simba inapambana kusaka taji la ligi ambalo lipo mikononi mwa Yanga ililotwaa kwa msimu wa 2021/22 bila kupoteza kwenye mechi 30 na ilikusanya pointi 74. Imerejea Dar kutoka Mbeya ilipokuwa…

Read More