Home Sports VIDEO:KOCHA NABI ABAINISHA UCHOVU UNAWASUMBUA WACHEZAJI

VIDEO:KOCHA NABI ABAINISHA UCHOVU UNAWASUMBUA WACHEZAJI

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wanasumbuliwa na tatizo la uchovu kutokana na kucheza mechi mfululizo lakini apo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zalan FC unaotarajiwa kuchezwa kesho, Uwanja wa Mkapa

Previous articleVIDEO:YANGA WANAISHI KISHUA,CHEKI KAMBI YAO
Next articleMERIDIANBET WAUNGA MKONO KAMPENI YA BUKU YA HEDHI SALAMA