
VIDEO:JEMBE AWACHAMBUA WAPINZANI WAO KIMATAIFA
MWANDISHI mkongwe katika masuala ya michezo Afrika Mashariki na kati ameweka wazi kuwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa kati ya Zalan FC na Yanga umekwisha, Yanga walipata bahati kwa kuwa hawakupata timu ngumu kimataifa hilo limewasaidia kujipanga kuwa vizuri na hata Simba ingewapata hao ingepata bahati. Kuhusu de Agosto ya Angola ambao ni wapinzani wa…