


MGUNDA; TUPO TAYARI KUIKABILI MALINDA
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Malindi, Uwanja wa Amaan. Simba imealikwa kwenye mashindano maalumu Visiwani Zanzibar na leo itacheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Malindi. Jana Septemba 24 kikosi hicho kilifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kujiandaa na mchezo…

VIDEO: MZIWANDA ATOBOA SIRI YA KOCHA MPYA,HAJI MANARA
SHABIKI wa Simba Mziwanda amezungumzia ishu ya kocha mpya Simba pamoja na suala la Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara

LITAKUFA JITU, CAF YAONGEZA MZUKA SIMBA, YANGA
LITAKUFA jitu, CAF yaongeza mzuka Simba, Yanga ndani ya Spoti Xtra Jumapili

VIDEO:MZUNGU WA SIMBA APEWA NENO, SAKHO PIA
MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Ambangile amewazungumzia nyota wa Simba pamoja na sababu ya kuanza ugenini kimataifa

VIDEO:MANDONGA ANA KAULI ZA KISHUJAA KWELI
MANDONGA kama Mandonga ana kauli za kishujaa kweli msikie namna anavyosema hapa

ZINCHENKO, ODEGAARD KUIWAHI DABI
MASTAA wawili wa Arsenal, Oleksandr Zinchenko na Martin Odegaard, imeelezwa kuwa watakuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa Dabi ya London Kaskazini dhidi ya Tottenham, unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi ijayo. Mechi hiyo inasubiriwa kwa shauku kubwa itapigwa kwenye Uwanja wa Emirates huku ikizikutanisha timu hizo zilizopo ndani ya Top 3 kwenye Premier kwa sasa. Zinchenko aliukosa…

VIDEO: MZIWANDA ABAINISHA YANGA WATAPIGWA KAMA NGOMA
KAY Mziwanda shabiki wa Simba amesema kuwa kwa Yanga kupangiwa na Al Hilal ni kipimo sahihi kwao huku akibainisha kuwa Yanga haitaweza kuingia hatua ya makundi kwa kuwa wanakutana na Al Hilal na sio Zalan, amebainisha Simba ni kawaida kutinga hatua ya makundi

SAUTI; MBINU ZA YANGA NNE HIZI HAPA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametaja mbinu nne ambazo atazitumia kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kuwakabili Al Hilal

TIMU YA TAIFA U 23 YAWAFUATA SUDAN KUSINI
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Vijana Chini ya Miaka 23, leo Septemba 24 kimeanza safari kuelekea Rwanda. Kinatarajiwa kucheza na Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa marudiano kuwania kufuzu AFCON. Mchezo wa kwanza uliochezwa jana Septemba 23, Uwanja wa Azam Complex ubao ulisoma Tanzania 0-0 Sudan Kusini. Hemed Morocco, Kocha Mkuu…

MZEE WA KUCHETUA KARUDI, KUWAKOSA SIMBA
KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison amezidi kuwa imara hali yake na tayari ameanza mazoezi na wachezaji wenzake. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambao waligawana pointi mojamoja. Ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 2-2 Azam FC na Morrison aliyeyusha dakika 90 lakini…

UBABE UBABE TU MTWARA, KIDUKU, MANDONGA MTU KAZI KAZINI
MASAA machache yamesalia kutoka hivi sasa leo Jumamosi Septemba 24, 2022 mabondia Twaha Kiduku na Abdo Khaled raia wa Misri kupanda ulingoni kuwania mkanda wa UBO Intercontinental kutoka Mtwara Ubabe Ubabe linalotarajia kupigwa kwenye Uwanja wa Nangwanda wa Sijaona mkoani Mtwara. Kiduku na Khaled wa wamepima uzito na tayari kwa pambano hilo la uzani wa…

NABI ATAKA KROSI, KONA BAO, MGUNDA ATENGA DAKIKA 180
NABI ataka krosi,kona bao, Mgunda atenga dakika 180 Simba ndani a Championi Jumamosi

U 23 YATOSHANA NGUVU NA SUDAN KUSINI AZAM COMPLEX
KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 23 leo Septemba 23 kimelazimisha suluhu dhidi ya Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo wageni Sudan Kusini walicheza kwa umakini wakitumia mbinu ya kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. U 23 ilianza…

MAYELE ATOA KAULI YA KIMATAIFA
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema yeye na wachezaji wenzake hawana presha kuhusu mchezo wa raundi ya pili ya mtoano dhidi ya Al Hilal ya Sudan Kaskazini. Mayele ametoa kauli hiyo kwa kujiamini akisema ni halali yao kuingia makundi katika michuano ya Kombe la Mabingwa Afrika kwani wana wachezaji wazuri na wanajiamini, hivyo hawana presha…

WINGA DEMBELE ASIMULIA ALIVYOPOTEZA MIAKA MITANO
WINGA wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Ufaransa Ousmane Dembele amefunguka juu ya maumivu aliyoyapitia katika miaka yake mitano ya awali akiwa na kikosi chake cha Barcelona. Dembele ambaye kwa sasa yupo na kikosi cha Taifa cha Ufaransa kinachoshiriki michezo ya Uefa Nations amefunguka akidai kuwa miaka yake mitano ya awali akiwa…

YANGA WAIPIGIA HESABU AL HILAL
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wameona ubora wa wapinzani wao Al Hilal ya Sudan hivyo watafanya maandalizi mazuri kupata matokeo. Nabi amesema ameona ubora wa Al Hilal ambao ameuficha kwa kukataa kuuweka wazi kwa kuhofia wapinzani kushtuka, zaidi akipanga kukiimarisha zaidi kikosi chake ili kuhakikisha anapata ushindi nyumbani na ugenini. “Mimi ni…