Home Sports VIDEO: MZIWANDA ABAINISHA YANGA WATAPIGWA KAMA NGOMA

VIDEO: MZIWANDA ABAINISHA YANGA WATAPIGWA KAMA NGOMA

KAY Mziwanda shabiki wa Simba amesema kuwa kwa Yanga kupangiwa na Al Hilal ni kipimo sahihi kwao huku akibainisha kuwa Yanga haitaweza kuingia hatua ya makundi kwa kuwa wanakutana na Al Hilal na sio Zalan, amebainisha Simba ni kawaida kutinga hatua ya makundi

Previous articleSAUTI; MBINU ZA YANGA NNE HIZI HAPA
Next articleZINCHENKO, ODEGAARD KUIWAHI DABI