
SAUTI:KOCHA MBRAZIL AIBUKIA SIMBA
INAELEZWA kuwa Robertinho Oliviera raia wa Brazil ametuma CV zake kuomba kazi ya kuifundisha Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda
INAELEZWA kuwa Robertinho Oliviera raia wa Brazil ametuma CV zake kuomba kazi ya kuifundisha Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda
HUKU wengi wakiamini Yanga SC kuanzia nyumbani katika mchezo wa hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal itawazuia kufuzu hatua ya makundi, kocha msaidizi wa timu hiyo, Cedric Kaze ameibuka na kushusha presha kwa kusema kikosi chao kinaweza kupata ushindi popote. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, wamefuzu…
LEO Septemba 27, Yanga imemtambulisha CEO mpya ambaye ni Andre Mtine na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said amebainisha kuwa kocha huyo ana uzoefu mkubwa wa mechi za kimataifa
RIO Ferdinand amefichua kuwa Sir Alex Ferguson alikuwa akiwaita Arsenal, ‘Watoto’ili kuamsha ari ya wachezaji wake wa Manchester United wakawachape wanapokutana. Beki huyo wa zamani wa Man United amefichua kuwa Fergie daima alikuwa anawaambia wachezaji wake kuwa ‘nendeni mkawafunge watototo hao’ wakati akizungumza nao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Ferdinand alisema:”Sir Alex Ferguson alikuwa akisema…
Dar-es salaam: Kampuni ya Meridianbet Tanzania, Jumatatu hii tarehe 26 Septemba 2022, walitembelea hospitali ya Madale na kutoa vifaa vya usafi na vifaa tiba katika hospitali ya hiyo ambayo inapatikana Tegeta, Kata ya Wazo. Timu ya Meridianbet ilifunga safari hadi hospitali hiyo, ikiongozwa na Twaha Ibrahim ambaye ni Afisa Masoko wa Kampuni. Timu hii ilikaribishwa…
UONGOZI wa Yanga leo Septemba 27,2022 umemtangaza Adre Mtine kutoka Zambia kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu hiyo. Ni mkataba wa miaka miwili CEO huyo amepewa kufanya kazi ndani ya Yanga ambapo utambulisho wake umefanywa na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said. Anakuja kuchukua mikoba ya Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini ambaye mkataba…
MASTAA watatu wa kikosi cha Simba wameingia kwenye fainali ya kuwania tuzo ya mchezaji bora kwa mwezi Septemba. Nyota hao wanawania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) ambapo mshindi huchaguliwa na mashabiki. Ni mshambuliaji Moses Phiri na kiungo Clatous Chama hawa wote ni raia wa Zambia pamoja…
KWENYE Ligi Kuu Bara, ukuta wa Yanga unaoongozwa na nahodha Bakari Mwamnyeto umeruhusu mabao matatu ya kufungwa huku safu ile ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 9. Kwa sasa Yanga ipo kwenye maandalizi ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hila unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Oktoba 8,2022…
IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna…
Mgunda ajilipua Simba, Nabi awaingiza chaka Wasudan ndani ya Spoti Xtra Jumanne
DENIS Jean, Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa Ufaransa amesema kuwa kwa sasa mpango kazi uliopo ni kuandaa utimamu wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi za kimataifa pamoja na ligi. Kocha huyo ambaye amesaini dili la mwaka mmoja kuchukua mikoba ya Abdi Hamid Moallin mchezo wake wa kwanza wa ligi alishuhudia timu hiyo ikishinda…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa taarifa za Patrick Aussems aliyekuwa kocha wa timu hiyo pamoja na makocha wengine wanaotajwa itajulikana hivi karibuni uongozi utakapokamilisha mchakato wa kufanya tathmini. Simba kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,Juma Mgunda ambaye amepewa mkataba wa muda na yupo na kikosi hicho Zanzibar kwa ajili ya mechi mbili za…
MWANDISHI Mkongwe kwenye masuala ya mpira Bongo, Saleh Ally ‘Jembe’ amesema kuwa winga wa Klabu ya Yanga Bernard Morrison anatakiwa kurekebisha tabia yake ya kushindwa kujizuia hasira zake na mwishowe kufanya matukio ambayo yanampa hasara. Nyota huyo kutokana na makosa hayo amesababisha afungiwe kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu ya NBC pamoja na faini ya…
TABASAMU limeanza kurejea taratibu aada ya timu zetu za Taifa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za mwanzo za kirafiki hili ni jambo ambalo linahitaji kuwa na mwendelezo. Wakiwa Libya, Taifa Stars walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uganda na Serengeti Boys pia kwenye mchezo wao wa kirafiki walishinda bao 1-0 dhidi ya Sudan U…
KARIM Mandonga ni sawa na kachumbari ya mchezo wa ngumi kipindi hiki, hili halina ubishi. Mandonga sasa ni gumzo haswa, kama mtu ni mgeni, anaweza kuamini Mandonga ni bondia mwenye mikanda kadha wa kadha kutokana na ubora wa kazi yake ulingoni. Bondia huyu si maarufu kutokana na ushindi ulingoni, amepata bahati ya aina yake kuwa…
SHABIKI wa Klabu ya Simba na timu ya Manchester United, Derick Mustafa, ameshinda Sh 49.8 milioni baada ya kubashiriki kwa kwa usahihi mechi 14 za ligi mbalimbali za soka duniani kupitia ‘mkeka’ wa kampuni ya 10 Bet. Mustafa ambaye ni mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kushinda kiasi kikubwa…
MWARABU aliyepigwa kwa pointi na Kiduku kwenye pambano lililochezwa Mtwara, Uwanja wa Nangwanda Sijaona ametaja visingizo ambavyo vimemfanya apigwe kwenye pambano hilo