
KANE AKUBALI KASI YA HAALAND
MSHAMBULIAJI wa Tottenham, Harry Kane raia wa England ameweka wazi kuwa kasi ambayo ameanza nayo mshambuliaji mpya ndani ya Manchester City, Erling Haaland ni nzuri ila naye ataongeza juhudi kutimiza majukumu yake. Haaland raia wa Norway amekuwa chachu ya matokeo mazuri uwanjani ametupia jumla ya mabao 14 kwenye mechi za mashindano yote. Ni namba moja…