Home International SIR FERGUSON ALIKUWA ANAWAITA ARSENAL ‘WATOTO’

SIR FERGUSON ALIKUWA ANAWAITA ARSENAL ‘WATOTO’

 RIO Ferdinand amefichua kuwa Sir Alex Ferguson alikuwa akiwaita Arsenal, ‘Watoto’ili kuamsha ari ya wachezaji wake wa Manchester United wakawachape wanapokutana.

Beki huyo wa zamani wa Man United amefichua kuwa Fergie daima alikuwa anawaambia wachezaji wake kuwa ‘nendeni mkawafunge watototo hao’ wakati akizungumza nao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.

Ferdinand alisema:”Sir Alex Ferguson alikuwa akisema ‘Wapayukieni kwenye nyuso zao. Hawapendi hilo, hawawezi kuvumulia ni watoto.

“Wachezeeni kibabe na mtashinda mechi hii. Rio utawavuruga hakikisha unawazidi nguvu,” amesema.

Previous articleMERIDIANBET WAISHIKA MKONO HOSPITALI YA MADALE KWA KUWAPA VIFAA
Next articleVIDEO:HUYU HAPA CEO MPYA YANGA, RAIS AMZUNGUMZIA