MRITHI WA SENZO YANGA ATAMBULISHWA

UONGOZI wa Yanga leo Septemba 27,2022 umemtangaza Adre Mtine kutoka Zambia kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu hiyo. Ni mkataba wa miaka miwili CEO huyo amepewa kufanya kazi ndani ya Yanga ambapo utambulisho wake umefanywa na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said. Anakuja kuchukua mikoba ya Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini ambaye mkataba…

Read More

MZAMIRU YASSIN AINGIA KWENYE VITA MATATA SIMBA

MASTAA watatu wa kikosi cha Simba wameingia kwenye fainali ya kuwania tuzo ya mchezaji bora kwa mwezi Septemba. Nyota hao wanawania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) ambapo mshindi huchaguliwa na mashabiki. Ni mshambuliaji Moses Phiri na kiungo Clatous Chama hawa wote ni raia wa Zambia pamoja…

Read More

NABI AWAPA MAAGIZO WACHEZAJI WAKE

KWENYE Ligi Kuu Bara, ukuta wa Yanga unaoongozwa na nahodha Bakari Mwamnyeto umeruhusu mabao matatu ya kufungwa huku safu ile ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 9. Kwa sasa Yanga ipo kwenye maandalizi ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hila unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Oktoba 8,2022…

Read More

DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna…

Read More

MFARANSA WA AZAM FC ANASUKA KIKOSI KAZI KIMATAIFA

DENIS Jean, Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa Ufaransa amesema kuwa kwa sasa mpango kazi uliopo ni kuandaa utimamu wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi za kimataifa pamoja na ligi. Kocha huyo ambaye amesaini dili la mwaka mmoja kuchukua mikoba ya Abdi Hamid Moallin mchezo wake wa kwanza wa ligi alishuhudia timu hiyo ikishinda…

Read More

SIMBA WAFUNGUKIA AUSSEMS KUREJEA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa taarifa za Patrick Aussems aliyekuwa kocha wa timu hiyo pamoja na makocha wengine wanaotajwa itajulikana hivi karibuni uongozi utakapokamilisha mchakato wa kufanya tathmini. Simba kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,Juma Mgunda ambaye amepewa mkataba wa muda na yupo na kikosi hicho Zanzibar kwa ajili ya mechi mbili za…

Read More

JEMBE AMPA USHAURI HUU BM 3

MWANDISHI Mkongwe kwenye masuala ya mpira Bongo, Saleh Ally ‘Jembe’ amesema kuwa winga wa Klabu ya Yanga Bernard Morrison anatakiwa kurekebisha tabia yake ya kushindwa kujizuia hasira zake na mwishowe kufanya matukio ambayo yanampa hasara. Nyota huyo kutokana na makosa hayo amesababisha afungiwe kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu ya NBC pamoja na faini ya…

Read More

SHABIKI WA SIMBA ASHINDA MILIONI 49 NA10 BET

SHABIKI wa Klabu ya Simba na timu ya Manchester United, Derick Mustafa, ameshinda Sh 49.8 milioni baada ya kubashiriki kwa kwa usahihi mechi 14 za ligi mbalimbali za soka duniani kupitia ‘mkeka’ wa kampuni ya 10 Bet. Mustafa ambaye ni mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kushinda kiasi kikubwa…

Read More

KANE AKUBALI KASI YA HAALAND

 MSHAMBULIAJI wa Tottenham, Harry Kane raia wa England ameweka wazi kuwa kasi ambayo ameanza nayo mshambuliaji mpya ndani ya Manchester City, Erling Haaland ni nzuri ila naye ataongeza juhudi kutimiza majukumu yake. Haaland raia wa Norway amekuwa chachu ya matokeo mazuri uwanjani ametupia jumla ya mabao 14 kwenye mechi za mashindano yote. Ni namba moja…

Read More