MECHI MBILI ZA KIRAFIKI SIMBA KUCHEZA ZANZIBAR

MECHI mbili za kirafiki watacheza wakiwa Zanzibar watanza na Kipanga, Septemba 25 na Septemba 28 watacheza dhidi ya Malindi. Mechi hizi za kirafiki ni kutokana na mwaliko ambao wameupata kutoka Shirikisho la Soka la Zanzibar, (ZFF). Meneja wa Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mechi zote zitachezwa saa moja usiku na itakuwa…

Read More

LIGI YA MATAIFA YA ULAYA INAENDELEA NA MERIADIANBET WAMEJIPANGA KUTOA PESA KWA AJILI YAKO

Baada ya Ligi nyingi kusimama sasa moto umehamia kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Mataifa ya Ulaya yatakuwa uwanjani kuhakikisha heshima ya nchi inasimama na mashabiki wanapata burudani ya soka safi, Meridianbet hawajakusahau wanamtonyo wako.   Macho ya wapenzi wa soka hayatakuwa na ukungu usiku wa Alhamisi, wakati kijana wa Kifaransa Kylian Mbappe akiwa mstari…

Read More

TAIFA STARS KUSUKWA UPYA KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars,Honour Janza, amesema kuwa mechi za kirafiki za kimataifa zilzio kwenye Kalenda ya FIFA zitampa mwanga wa kusuka kikosi imara kwa ajili ya ushindani.  Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Uganda na Libya na zitachezwa nchini Libya na tayari kikosi hicho kimeshatua nchini…

Read More

KIMATAIFA STARS FANYENI KWELI

MVURUGANO ambao huwa unapatikana baada ya matokeo yasiyotarajiwa kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania kwenye benchi la ufundi pamoja na wachezaji huwa unakuwa sio wa kawaida. Hii inatokea kwa sababu kila mmoja anapoingia uwanjani mpango wake ni kuona timu inapata matokeo na pale inaposhindikana. Uzuri ni kwamba mchezo wa mpira ni mchezo wa…

Read More

SAUTI: MABOSI SIMBA WAMJADILI KOCHA MPYA

UONGOZI wa Simba unatajwa kuingia chimbo kumsaka mrithi wa Zoran Maki na kwa sasa Simba ipo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda ambaye ameiongoza timu hiyo kwenye mechi tatu, Meneja wa Habari na Mawasiliano ndani ya Simba Ahmed Ally amebainisha kuwa mchakato wa kumsaka kocha mpya umeanza

Read More

RUVU SHOOTING: TUMEJIPANGA KUFANYA VIZURI

MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting ameweka wazi kuwa msimu huu wamejipanga kufanya vizuri kwenye mechi zao zote watakazoshuka uwanjani. Bwire ameongeza kuwa msimu huu ni tofauti na uliopita jambo linawapa nguvu ya kuongeza juhudi ili kuleta ushindani. “Msimu huu ni watofauti na kila timu inahitaji ushindi nasi tupo tayari ukizingatia kwamba tumefanya usajili…

Read More

LUSAJO NEMBO YA MABAO UWANJANI

NEMBO ya Relliats Lusajo ukifika Uwanja wa Mkapa utaiona juu ikiwa metulia, fahari kubwa kwa anachokifanya ni jambo la kujivunia kwa mzawa huyu. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 alianza kwa kasi ya namna hii kwenye kucheza na nyavu mwisho akagotea namba 10. Pia alikuwa ni namba moja kwenye kutengeneza mabao alitengeneza pasi 6 za mabao…

Read More

KOCHA TAIFA STARS ABEBA MATUMAINI KIMATAIFA

HONOUR Janza, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa wtacheza kwa kujiamini kwenye mechi za kirafiki za kimataifa zilizo kwenye Kalenda ya FIFA ili kupata matokeo. Stars inatarajiwa kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Uganda na Libya ambazo zitachezwa nchini Libya na kikosi hicho kilikwea pipa jana, Septemba 20…

Read More

WAZAWA SIMBA WANSTAHILI PONGEZI KWA WALICHOKIFANYA

WAZAWA wawili ambao kwa sasa wanakinoa kikosi cha Simba wote wameanza mwendo wao kwa kasi nzuri wanastahili pongezi na kuongza juhudi zaidi katika kutimiza majukumu yao. Kocha Mkuu, Juma Mgunda ameanza kibarua kwenye nyakati ngumu kwa kuwa timu ilikuwa bado haijaungana na muunganiko wake ulikuwa unatafutwa. Kuondoka kwa Zoran Maki na mikoba yake kuwa mikononi…

Read More

KUMBE MAYAY ALISHTUKIZWA UBOSI

LEGEND wa soka Bongo, Ally Maya Tembele amebainisha kuwa taarifa za kuteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Tanzania zilimfikia kwa kustukizwa na hakuwa na tetesi za kuwa atapewa nafasi hiyo. Septemba 20 Mayay aliteuliwa kuchukua nafasi ya Yusuph Singo aliyepangiwa majukumu mengine. Mayay alibainisha hayo alipokuwa mubashara kwenye kipindi cha Krosi…

Read More