
MGUNDA; TUPO TAYARI KUIKABILI MALINDA
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Malindi, Uwanja wa Amaan. Simba imealikwa kwenye mashindano maalumu Visiwani Zanzibar na leo itacheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Malindi. Jana Septemba 24 kikosi hicho kilifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kujiandaa na mchezo…