
BREAKING: MZUNGU WA SIMBA MKATABA WAKE WAVUNJIKA
DEJAN Georgijevic maarufu kama Mzungu wa Simba amebainisha kuwa mkataba wake na mabosi hao umevunjika kutokana na makubaliano ya kimkataba. Nyota huyo kwa sasa yupo na kikosi hicho ambacho kimeweka kambi Zanzibar kwa ajili ya mechi za kirafiki mchezo wa kwanza walishinda bao 1-0 dhidi ya Malindi na leo wanatarajia kucheza dhidi ya Kipanga FC….